Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Duh umenipa kazi nimeanza research rasmi nikimaliza ntakuja na majibu na mifano...
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali
Jee Kuna Uhusiano Wowote Kati ya Dini na Majeshi?. Jee Kuna Watu wa Dini Fulani ni Wazuri Zaidi Jeshini Kuliko Dini Nyingine?.

Kufuatia Mkuu wetu wa Majeshi wa sasa kufanya kazi nzuri iliyotukuka Jeshini kuliko wakuu wengine wote waliotangulia, inawezekana huu uchapa kazi wake unatokana na kutoka kabila la wachapakazi?.

Katika kuwadurufu Wakuu wa Majeshi waliotangulia, kuna kitu strange nimekinote.

Wakuu hawa ni Jenerali Mirisho Sarakikya, Jenerali Abdalah Twalipo, Jenerali David Musuguri, Jenerali Ernest Mwita Kiaro, Jenerali Robert Mboma, Jenerali George Waitara, Jenerali Davis Mwamunyange, wa sasa Jenerali Venance Mabeyo.

Wote wana majina ya kiashiria ni watu wa dini fulani, isipokuwa mmoja tuu, Generali Abdalah Twalipo. Tena huyu Twalipo, mimi nilisoma darasa moja na binti yake akiitwa Flora Twalipo ambalo pia jina la kishiria cha dini fulani, usikute hilo jina la Abdalah ni jina tuu kama Anna Abdalah, au Jaji Ramadhani?.

Swali ni je kuna uwezekano watu wa dini fulani ni wakakamavu zaidi kuliko dini nyingine ndio maana wengi huko majeshini ni watu wa dini fulani?, kama jeshini tuna watu wa dini zote, inamaana wanao panda hadi kufikia top rank ya majenerali, kwa nini wengi wawe wa dini fulani hiyo hiyo?, kwani hao wa dini nyingine kwa nini hawawi majenerali?, jee wapo lakini hawana sifa za ujenerali au wapo na wanasifa lakini wanabaguliwa hivyo majenerali wengi kuwa watu wa dini moja?.
Jee ukakamavu nao una uhusiano na dini ya mtu?
.
Na tukija kwenye makabila, jee pia kuna makabila wachapakazi wanaoweza mitulinga ya Jeshini, na makabila mengine kazi za Jeshini ni kituo cha polisi?. Kwa nini watu wa makabila fulani fulani ndio wajae majeshini na kupata hadi kuwa majenerali?. Yaani Majenerali wote ni watu wa makabila ya bara tuu, yaani watu wa Pwani na visiwani hawawezi kupanda na kuwa majenerali?.

Nauliza hivi makusudi ili baadae huko mbele ya safari, tusije kulaumiana, kati ya majenerali wote 8 wa jeshi letu, tangu tumepata uhuru, majerali watutu, sio tuu walitoka mkoa mmoja, bali ni watu wa kabila moja, sasa kuna unaya wowote, na mimi nikibahatika kuwa CinC wa majeshi yetu, nami nikatafuta angalau generali wa kabila langu, hata kama rank yake ilikuwa chini, nikamuongezea muda kidogo wa kustaafu jenerali aliyepo ambaye muda wake umekwisha, kisha nikampandisha vyeo chap chap jererali wa kabila langu, lakini kufuatia good track record ya utekelezaji wake wa mambo makubwa, ikaamuliwa kuanzia sasa, majerali wawe kutoka kabila fulani angalau hata watatu kama lile kabila jingine, wakati huo tukifanya affirmative action jeshini kwa kuwapandisha vyeo chap chap watu wa dini nyine ambao hawajapata majenerali, na kuwajaribisha watu wa makabila mengine kwenye vyeo vya juu, ili Jeshi letu la Wananchi wa Tanzania, liwe ni jeshi la wote kuweza kuwa majenerali?.

Nawatakia Jumapili njema ya matawi.


P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No , historia ni mwalimu mzuri! Wakurya ni wezi wa ngombe na hivyo ni wakakamavu. Rais wa kwanza alitoka kwao/upande ule na hivyo kuwa influenced na ukakamavu wao kuwaweka jeshini! Dini inategemea nani alikwenda huko. Pwani Mwarabu/islamu ilitawala. Bara Yesu affiliantes walitawala.
kama utakua makini utafahamu kua Mwenye Uzi hajataja dini wala kabila LA MTU we umejuaje kama anazungumzia hiv0
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali
Jee Kuna Uhusiano Wowote Kati ya Dini na Majeshi?. Jee Kuna Watu wa Dini Fulani ni Wazuri Zaidi Jeshini Kuliko Dini Nyingine?.

Kufuatia Mkuu wetu wa Majeshi wa sasa kufanya kazi nzuri iliyotukuka Jeshini kuliko wakuu wengine wote waliotangulia, inawezekana huu uchapa kazi wake unatokana na kutoka kabila la wachapakazi?.

Katika kuwadurufu Wakuu wa Majeshi waliotangulia, kuna kitu strange nimekinote.

Wakuu hawa ni Jenerali Mirisho Sarakikya, Jenerali Abdalah Twalipo, Jenerali David Musuguri, Jenerali Ernest Mwita Kiaro, Jenerali Robert Mboma, Jenerali George Waitara, Jenerali Davis Mwamunyange, wa sasa Jenerali Venance Mabeyo.

Wote wana majina ya kiashiria ni watu wa dini fulani, isipokuwa mmoja tuu, Generali Abdalah Twalipo. Tena huyu Twalipo, mimi nilisoma darasa moja na binti yake akiitwa Flora Twalipo ambalo pia jina la kishiria cha dini fulani, usikute hilo jina la Abdalah ni jina tuu kama Anna Abdalah, au Jaji Ramadhani?.

Swali ni je kuna uwezekano watu wa dini fulani ni wakakamavu zaidi kuliko dini nyingine ndio maana wengi huko majeshini ni watu wa dini fulani?, kama jeshini tuna watu wa dini zote, inamaana wanao panda hadi kufikia top rank ya majenerali, kwa nini wengi wawe wa dini fulani hiyo hiyo?, kwani hao wa dini nyingine kwa nini hawawi majenerali?, jee wapo lakini hawana sifa za ujenerali au wapo na wanasifa lakini wanabaguliwa hivyo majenerali wengi kuwa watu wa dini moja?.
Jee ukakamavu nao una uhusiano na dini ya mtu?
.
Na tukija kwenye makabila, jee pia kuna makabila wachapakazi wanaoweza mitulinga ya Jeshini, na makabila mengine kazi za Jeshini ni kituo cha polisi?. Kwa nini watu wa makabila fulani fulani ndio wajae majeshini na kupata hadi kuwa majenerali?. Yaani Majenerali wote ni watu wa makabila ya bara tuu, yaani watu wa Pwani na visiwani hawawezi kupanda na kuwa majenerali?.

Nauliza hivi makusudi ili baadae huko mbele ya safari, tusije kulaumiana, kati ya majenerali wote 8 wa jeshi letu, tangu tumepata uhuru, majerali watutu, sio tuu walitoka mkoa mmoja, bali ni watu wa kabila moja, sasa kuna unaya wowote, na mimi nikibahatika kuwa CinC wa majeshi yetu, nami nikatafuta angalau generali wa kabila langu, hata kama rank yake ilikuwa chini, nikamuongezea muda kidogo wa kustaafu jenerali aliyepo ambaye muda wake umekwisha, kisha nikampandisha vyeo chap chap jererali wa kabila langu, lakini kufuatia good track record ya utekelezaji wake wa mambo makubwa, ikaamuliwa kuanzia sasa, majerali wawe kutoka kabila fulani angalau hata watatu kama lile kabila jingine, wakati huo tukifanya affirmative action jeshini kwa kuwapandisha vyeo chap chap watu wa dini nyine ambao hawajapata majenerali, na kuwajaribisha watu wa makabila mengine kwenye vyeo vya juu, ili Jeshi letu la Wananchi wa Tanzania, liwe ni jeshi la wote kuweza kuwa majenerali?.

Nawatakia Jumapili njema ya matawi.


P
CinC ndo nini...."Commander in Cheat" kama huyu wa sasa ama? Halaf kabila lenu si tayari.mnaye huyu kilaza wa sasa? Au huyu ni Mhutu?
 
Mwislamu aliyeshika vizuri dini yake kamwe hawezi kumuabudu binadamu mwenzake, kuna tabia imeanza kuna kiumbe mmoja anataka kuabudiwa, na kuna kafir mmoja sasa anataka Mungu naye aanze kumuabudu kiumbe huyu mpenda sifa, mwislamu hawezi kufanya upumbavu huu.
Acha udini wewe hata enzi za kiku boi mambo yalikuwa hivihivi...bakwata yenyewe inajipendekeza . Tatizo ni kutosoma na kutopenda kazi ngumu,wanaona bora kuwa dalali au kushinda kijiweni kuliko kupiga kazi. Kulima kwenyewe kwakivivu,kufuga hakuna alimradi hawataki jasho nduguzako.
 
FaizaFoxy aje atusaidie
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali
Jee Kuna Uhusiano Wowote Kati ya Dini na Majeshi?. Jee Kuna Watu wa Dini Fulani ni Wazuri Zaidi Jeshini Kuliko Dini Nyingine?.

Kufuatia Mkuu wetu wa Majeshi wa sasa kufanya kazi nzuri iliyotukuka Jeshini kuliko wakuu wengine wote waliotangulia, inawezekana huu uchapa kazi wake unatokana na kutoka kabila la wachapakazi?.

Katika kuwadurufu Wakuu wa Majeshi waliotangulia, kuna kitu strange nimekinote.

Wakuu hawa ni Jenerali Mirisho Sarakikya, Jenerali Abdalah Twalipo, Jenerali David Musuguri, Jenerali Ernest Mwita Kiaro, Jenerali Robert Mboma, Jenerali George Waitara, Jenerali Davis Mwamunyange, wa sasa Jenerali Venance Mabeyo.

Wote wana majina ya kiashiria ni watu wa dini fulani, isipokuwa mmoja tuu, Generali Abdalah Twalipo. Tena huyu Twalipo, mimi nilisoma darasa moja na binti yake akiitwa Flora Twalipo ambalo pia jina la kishiria cha dini fulani, usikute hilo jina la Abdalah ni jina tuu kama Anna Abdalah, au Jaji Ramadhani?.

Swali ni je kuna uwezekano watu wa dini fulani ni wakakamavu zaidi kuliko dini nyingine ndio maana wengi huko majeshini ni watu wa dini fulani?, kama jeshini tuna watu wa dini zote, inamaana wanao panda hadi kufikia top rank ya majenerali, kwa nini wengi wawe wa dini fulani hiyo hiyo?, kwani hao wa dini nyingine kwa nini hawawi majenerali?, jee wapo lakini hawana sifa za ujenerali au wapo na wanasifa lakini wanabaguliwa hivyo majenerali wengi kuwa watu wa dini moja?.
Jee ukakamavu nao una uhusiano na dini ya mtu?
.
Na tukija kwenye makabila, jee pia kuna makabila wachapakazi wanaoweza mitulinga ya Jeshini, na makabila mengine kazi za Jeshini ni kituo cha polisi?. Kwa nini watu wa makabila fulani fulani ndio wajae majeshini na kupata hadi kuwa majenerali?. Yaani Majenerali wote ni watu wa makabila ya bara tuu, yaani watu wa Pwani na visiwani hawawezi kupanda na kuwa majenerali?.

Nauliza hivi makusudi ili baadae huko mbele ya safari, tusije kulaumiana, kati ya majenerali wote 8 wa jeshi letu, tangu tumepata uhuru, majerali watutu, sio tuu walitoka mkoa mmoja, bali ni watu wa kabila moja, sasa kuna unaya wowote, na mimi nikibahatika kuwa CinC wa majeshi yetu, nami nikatafuta angalau generali wa kabila langu, hata kama rank yake ilikuwa chini, nikamuongezea muda kidogo wa kustaafu jenerali aliyepo ambaye muda wake umekwisha, kisha nikampandisha vyeo chap chap jererali wa kabila langu, lakini kufuatia good track record ya utekelezaji wake wa mambo makubwa, ikaamuliwa kuanzia sasa, majerali wawe kutoka kabila fulani angalau hata watatu kama lile kabila jingine, wakati huo tukifanya affirmative action jeshini kwa kuwapandisha vyeo chap chap watu wa dini nyine ambao hawajapata majenerali, na kuwajaribisha watu wa makabila mengine kwenye vyeo vya juu, ili Jeshi letu la Wananchi wa Tanzania, liwe ni jeshi la wote kuweza kuwa majenerali?.

Nawatakia Jumapili njema ya matawi.


P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika responsiblity execution kuna kitu kinaitwa "Chain of Command" order should be flow from top to down kina ustadhi dini yao inahubiri equal treatment no one is superior than Allah rejea islamic states kumekuepo na makundi yanayokinzana sababu kila mtu kambale.
 
Mwislamu aliyeshika vizuri dini yake kamwe hawezi kumuabudu binadamu mwenzake, kuna tabia imeanza kuna kiumbe mmoja anataka kuabudiwa, na kuna kafir mmoja sasa anataka Mungu naye aanze kumuabudu kiumbe huyu mpenda sifa, mwislamu hawezi kufanya upumbavu huu.
Kwahiyo kumeza mabomu ndio ukakamavu

God first
 
Acha udini wewe hata enzi za kiku boi mambo yalikuwa hivihivi...bakwata yenyewe inajipendekeza . Tatizo ni kutosoma na kutopenda kazi ngumu,wanaona bora kuwa dalali au kushinda kijiweni kuliko kupiga kazi. Kulima kwenyewe kwakivivu,kufuga hakuna alimradi hawataki jasho nduguzako.
Unamkataza mwenzako udini kisha nawe unaleta udini!?
 
Waislamu ni watu wenye misimamo sana, sidhani kama wangeweza kuachia NEC wakaendesha aina hii ya uchaguzi unaofanyikaga hapa bongo land na hizi double standard tunazoziona...hii inafanyika kwa makusudi sio bahati mbaya kutowapa nafasi huko kwa wingi..
Inaonekana unajua mengi mkuu. Muislam haswa alieikiri dini yake basi kwake dini yake ni muhimu kuliko chochote. Kumbuka nimesema "muislam alieikiri dini yake" sio Alhadi Mussa mpiga dili
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali
Jee Kuna Uhusiano Wowote Kati ya Dini na Majeshi?. Jee Kuna Watu wa Dini Fulani ni Wazuri Zaidi Jeshini Kuliko Dini Nyingine?.

Kufuatia Mkuu wetu wa Majeshi wa sasa kufanya kazi nzuri iliyotukuka Jeshini kuliko wakuu wengine wote waliotangulia, inawezekana huu uchapa kazi wake unatokana na kutoka kabila la wachapakazi?.

Katika kuwadurufu Wakuu wa Majeshi waliotangulia, kuna kitu strange nimekinote.

Wakuu hawa ni Jenerali Mirisho Sarakikya, Jenerali Abdalah Twalipo, Jenerali David Musuguri, Jenerali Ernest Mwita Kiaro, Jenerali Robert Mboma, Jenerali George Waitara, Jenerali Davis Mwamunyange, wa sasa Jenerali Venance Mabeyo.

Wote wana majina ya kiashiria ni watu wa dini fulani, isipokuwa mmoja tuu, Generali Abdalah Twalipo. Tena huyu Twalipo, mimi nilisoma darasa moja na binti yake akiitwa Flora Twalipo ambalo pia jina la kishiria cha dini fulani, usikute hilo jina la Abdalah ni jina tuu kama Anna Abdalah, au Jaji Ramadhani?.

Swali ni je kuna uwezekano watu wa dini fulani ni wakakamavu zaidi kuliko dini nyingine ndio maana wengi huko majeshini ni watu wa dini fulani?, kama jeshini tuna watu wa dini zote, inamaana wanao panda hadi kufikia top rank ya majenerali, kwa nini wengi wawe wa dini fulani hiyo hiyo?, kwani hao wa dini nyingine kwa nini hawawi majenerali?, jee wapo lakini hawana sifa za ujenerali au wapo na wanasifa lakini wanabaguliwa hivyo majenerali wengi kuwa watu wa dini moja?.
Jee ukakamavu nao una uhusiano na dini ya mtu?
.
Na tukija kwenye makabila, jee pia kuna makabila wachapakazi wanaoweza mitulinga ya Jeshini, na makabila mengine kazi za Jeshini ni kituo cha polisi?. Kwa nini watu wa makabila fulani fulani ndio wajae majeshini na kupata hadi kuwa majenerali?. Yaani Majenerali wote ni watu wa makabila ya bara tuu, yaani watu wa Pwani na visiwani hawawezi kupanda na kuwa majenerali?.

Nauliza hivi makusudi ili baadae huko mbele ya safari, tusije kulaumiana, kati ya majenerali wote 8 wa jeshi letu, tangu tumepata uhuru, majerali watutu, sio tuu walitoka mkoa mmoja, bali ni watu wa kabila moja, sasa kuna unaya wowote, na mimi nikibahatika kuwa CinC wa majeshi yetu, nami nikatafuta angalau generali wa kabila langu, hata kama rank yake ilikuwa chini, nikamuongezea muda kidogo wa kustaafu jenerali aliyepo ambaye muda wake umekwisha, kisha nikampandisha vyeo chap chap jererali wa kabila langu, lakini kufuatia good track record ya utekelezaji wake wa mambo makubwa, ikaamuliwa kuanzia sasa, majerali wawe kutoka kabila fulani angalau hata watatu kama lile kabila jingine, wakati huo tukifanya affirmative action jeshini kwa kuwapandisha vyeo chap chap watu wa dini nyine ambao hawajapata majenerali, na kuwajaribisha watu wa makabila mengine kwenye vyeo vya juu, ili Jeshi letu la Wananchi wa Tanzania, liwe ni jeshi la wote kuweza kuwa majenerali?.

Nawatakia Jumapili njema ya matawi.


P

Kabila la wanajeshi....
Kuna kabila Tra.....
Siku hizi kuna kabila la Usalama....
 
Waislamu ni watu wenye misimamo sana, sidhani kama wangeweza kuachia NEC wakaendesha aina hii ya uchaguzi unaofanyikaga hapa bongo land na hizi double standard tunazoziona...hii inafanyika kwa makusudi sio bahati mbaya kutowapa nafasi huko kwa wingi..
Kwani kule kwa Jecha taasisi nyingi zilikuwa zinaongozwa na wakristo?

Sent using Nokia 6
 
Kwanza kihistoria watu wa ukanda ule ndio walikua wengi na waliendelea kubebana wao kwa wao linapotokea swala la nafasi za ajira na upandishwaji wa vyeo jeshini. Kwa upande wa dini,watu wa dini flani waliwekeza zaidi kwenye elim akhera ambayo sio kigezo KABISA katika kupandishwa ranks tofauti wa walioadopt elimu ya western ambacho ni kigezo muhimu kabisa cha kupanda cheo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali
Jee Kuna Uhusiano Wowote Kati ya Dini na Majeshi?. Jee Kuna Watu wa Dini Fulani ni Wazuri Zaidi Jeshini Kuliko Dini Nyingine?.

Kufuatia Mkuu wetu wa Majeshi wa sasa kufanya kazi nzuri iliyotukuka Jeshini kuliko wakuu wengine wote waliotangulia, inawezekana huu uchapa kazi wake unatokana na kutoka kabila la wachapakazi?.

Katika kuwadurufu Wakuu wa Majeshi waliotangulia, kuna kitu strange nimekinote.

Wakuu hawa ni Jenerali Mirisho Sarakikya, Jenerali Abdalah Twalipo, Jenerali David Musuguri, Jenerali Ernest Mwita Kiaro, Jenerali Robert Mboma, Jenerali George Waitara, Jenerali Davis Mwamunyange, wa sasa Jenerali Venance Mabeyo.

Wote wana majina ya kiashiria ni watu wa dini fulani, isipokuwa mmoja tuu, Generali Abdalah Twalipo. Tena huyu Twalipo, mimi nilisoma darasa moja na binti yake akiitwa Flora Twalipo ambalo pia jina la kishiria cha dini fulani, usikute hilo jina la Abdalah ni jina tuu kama Anna Abdalah, au Jaji Ramadhani?.

Swali ni je kuna uwezekano watu wa dini fulani ni wakakamavu zaidi kuliko dini nyingine ndio maana wengi huko majeshini ni watu wa dini fulani?, kama jeshini tuna watu wa dini zote, inamaana wanao panda hadi kufikia top rank ya majenerali, kwa nini wengi wawe wa dini fulani hiyo hiyo?, kwani hao wa dini nyingine kwa nini hawawi majenerali?, jee wapo lakini hawana sifa za ujenerali au wapo na wanasifa lakini wanabaguliwa hivyo majenerali wengi kuwa watu wa dini moja?.
Jee ukakamavu nao una uhusiano na dini ya mtu?
.
Na tukija kwenye makabila, jee pia kuna makabila wachapakazi wanaoweza mitulinga ya Jeshini, na makabila mengine kazi za Jeshini ni kituo cha polisi?. Kwa nini watu wa makabila fulani fulani ndio wajae majeshini na kupata hadi kuwa majenerali?. Yaani Majenerali wote ni watu wa makabila ya bara tuu, yaani watu wa Pwani na visiwani hawawezi kupanda na kuwa majenerali?.

Nauliza hivi makusudi ili baadae huko mbele ya safari, tusije kulaumiana, kati ya majenerali wote 8 wa jeshi letu, tangu tumepata uhuru, majerali watutu, sio tuu walitoka mkoa mmoja, bali ni watu wa kabila moja, sasa kuna unaya wowote, na mimi nikibahatika kuwa CinC wa majeshi yetu, nami nikatafuta angalau generali wa kabila langu, hata kama rank yake ilikuwa chini, nikamuongezea muda kidogo wa kustaafu jenerali aliyepo ambaye muda wake umekwisha, kisha nikampandisha vyeo chap chap jererali wa kabila langu, lakini kufuatia good track record ya utekelezaji wake wa mambo makubwa, ikaamuliwa kuanzia sasa, majerali wawe kutoka kabila fulani angalau hata watatu kama lile kabila jingine, wakati huo tukifanya affirmative action jeshini kwa kuwapandisha vyeo chap chap watu wa dini nyine ambao hawajapata majenerali, na kuwajaribisha watu wa makabila mengine kwenye vyeo vya juu, ili Jeshi letu la Wananchi wa Tanzania, liwe ni jeshi la wote kuweza kuwa majenerali?.

Nawatakia Jumapili njema ya matawi.


P

KWANZAJESHI LENYE NGUVU AFRICA NI MISRI . HALAFU JESHI LA ISLAMIC STATE LIMEWEZA KUPAMBANA SYRIA MPAKA WAKAINGIA IRAQ NAO NI JESHI LILOJIKUSANYA KUTOKA MATAIFA MBALIMBALI LAKINI LILIKUWA STRONG. AFGHANISTAN JESHI LA TALABANI WALIPAMBANA NA WAVAMIZI WA RUSSIA MPAKA RUSSIA ILIKIMBIA .TALABANI WANA PAMBANA NA MAREKANI NA NATO TANGU 2011 MPAKA LEO NATO WANAOMBA KUJITOA WAMERIKANI WAPO HOI NENDA KAONYESHWE MAKABURI YA WAMERIKANI WALIOKUFA AFGHAN STAN NI SAWA NA ENEO LA KINONDONI YOTE MPAKA LEO TALABANI HAWATAKI SULUHU WANATAKA NA WANAENDELEA NA MAPAMBANO BADO SIJAKUELEZA UKAKAMAVU WA SOMALIA
 
Back
Top Bottom