Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Ninachojua mimi kuna uhusiano wa kabila na ukakamavu, huwezi kumlinganisha mpemba na mngoni wa namtumbo, au mkinga na mzaramo wa dar, au mjita na mluguru wa mto mbaji
 
madhara ya kukariri haya.....
 

Kaka yangu ukiitwa niite nikusindikize, umenena vema.
Nchi yetu, jeshi letu sote.
 
Hoja nzuri
Jibu hakua aina yoyote ya ukakamavu zudi ya dini fulani...
Wakina Abdallah mliwaminya kujiendeleza sasa mnaanza kuwasimanga.... Mlisahau milango ya ridhkii mtoaji ni Muumba mbingu na ardhi mkifunga mlango mmoja mingine iko wazi...

Elimu dunia haikuwa ya muhimu kwa baadhi labda
 
Uliwahi jiuliza jeshi lingekuwa na CDF Rugangila Rweyemamu Mutagurwa Kamugisha ingekuwaje???
 
Mm n mkiristo ila waislam nawapenda coz wana msimamo na ni waadilifu. Nawakumbka sana rafk zang waislam "Ahmad na Abdulrahman" waadilif sana. Hawaogop chochote cha kuwatoa kwny msimamo wao. So ni watu wa kujiamin na jeshi linawafaa
Tofauti na sisi wakristo ambao ni wanafiki, wenye wivu, Chuki na wachumia tumbo
Mfano mwingne ni CIEIJII aliyepambana na kundi kubwa na wanyang'anyi na walanguzi walio mapapa kwa ajili ya wengi.
 
Watu wakakamavu kichwani wabovu, chunguza hilo, sijataja dini, kabila wala mtu wala sijataja kazi, ila kiujuma watu wakakamavuuu kichwani vihiyo sana yaani.. Huo ndio ukweli..!!
 
Dah...kazi ya jeshi ni ulinzi....kuhatarisha uhai wako ili kuokoa uhai wa mwingine au mali...toka enzi na enzi..Kuna jamii za kulindwa...na jamii za kulinda...[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 

Misri??? Ha ha ha ..... soma YOM KIPPUR WAR
HAO wengine mbinu zao ni synonymous na guerrilla warfare. Conventional warfare haijawahi wasitiri dakika 15. Vietcong vs FRENCH ARMY na USA, Maoists vs Japanese Imperial Army etc, na hao Al Shabab ni walewale. Sawa na mbinu za mbweha, fisi et al. Conventional warfare hawadumu sekunde. Sasa wewe ukiwana uadui na yule alie mwoga kupindukia alafu AKAKUVIZIA na kukutia kisu takoni YEYE ndo mbabe au?
 

Qur'an 49:

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. 13
 
Hakuna cha ukakamavu wala ukabila wala dini. Swala kubwa hapa ni kuibuliwa ili uonyeshe uwezo wako. Nani atakuibua? Nani atakuamini? Nani atasoma faili lako? Nani anakufahamu? Nani atakutambulisha? Tungejua wapi uwezo wa Nyerere bila kupewa nafasi na wazee wa TAA? Tungewajua wapi kina Sokoine bila kuteuliwa na Nyerere? Hao majenerali wa Kikurya tungewajua wapi bila kuteuliwa na CinC wa wakati huo? Unataka kusema hao wa dini nyingine wanaokosa ukakamavu jeshini, basi na kwenye taasisi zingine wanakosa? Mbona hawaibuliwi?
 
misri ni himaya kubwa tangu abraham hajazaliwa,imepigana vita vingi mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…