Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Wazo lako sio zuri P sababu objective yake sio kusaidia Taifa Bali kuharibu
Umesikia wap watu wa kabila Fulani au dini Fulani wakigombea nafasi za General jeshini ??
Jeshi letu linafanya kazi kwa miiko na nidhamu
Madaraka ndani ya jeshi hayatolewi kama favour ni cv iliyo tukuka ndiyo inakubeba
Kama vilianza viashiria vya ukabila jeshini basi vikomeshwe Afande anabaki kuwa Afande regardless kabila au dini yake
Nchi Ina muhuli 6
Makabila yako 120
Inawezekanaje kila kabila kutoa general ..?
Kingine dig dip utakua Kwanini general wote ni aina fulan hii ni kwa sababu maalumu
 
Wanabodi,

Kama jeshini tuna watu wa dini zote, na wote wana ukakamavu sawa, inamaana wanaopanda kufikia majenerali wangekuwa watu wa dini zote, lakini hali halisi ya wanao panda hadi kufikia top rank ya majenerali, kwa nini wengi wawe wa dini fulani hiyo hiyo?, kwani hao wa dini nyingine kwa nini hawawi majenerali?

Tanzania ni nchi moja ya Jamhuri ya Muungano yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, sasa iweje Majenerali wote 8 ni watu wa kutoka upande mmoja tuu wa muungano, ina maana hakuna watu kutoka upande ule wa muungano wetu wenye sifa za kupanda hadi kuwa majenerali?. Yaani majenerali wote ni wa makabila ya bara tuu, yaani watu wa Pwani na visiwani hawawezi kupanda na kuwa majenerali?. NB. Hapa nazungumzia Jeshi, JWTZ na sio Polisi, kule polisi kuna ubaguzi wa urefu, watu wa makabila ya wafupi walikuwa hawaajiriwi polisi zamani.



Na baada ya kumpata jenerali wa kabila langu, kiukweli kabisa hakuniangusha, amepiga mtulinga haswa na kufuatia good track record ya utekelezaji wake wa mambo makubwa, je kuna ubaya wowote ikiamuliwa kuanzia sasa, tuwe tunawajaribisha watu wa dini zote kwenye ujenerali na watu wa makabila yote kwenye ujenerali, ili kuupima uchapaji kazi wao, tukiisha jiridhisha kuna makabila ni wachapa kazi, then tunaamua kuanzia sasa, majenerali wote wa jeshi letu ni lazima wawe kutoka makabila fulani tuu ya wachapa kazi, angalau hata wafikie wawili, watatu kama lile kabila jingine, ndipo tuanze affirmative action jeshini kwa kuwajengea uwezo kwa kuwapandisha vyeo chap chap watu wa dini nyingine ambao hawajapata majenerali wa kutosha na kuwajaribisha watu wa makabila mengine kwenye vyeo vya juu, ili Jeshi letu la Wananchi wa Tanzania, liwe ni jeshi la wananchi wote wa Tanzania, na wa dini zote na makabila yote kuweza kuwa majenerali?.

Nawatakia Jumapili njema ya matawi.

Paskali
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Hamza amesema Zanzibar inapata 21% ya Ajira kwenye Taasisi za Muungano

Hamza amesema Zanzibar wanadai haki zao kwa sababu Wao ndio wanaujua ukweli wa Muungano

Hamza amesema Wazanzibari wengi asili yao ni Tanganyika na waliletwa kutoka Uchagani, Kigoma nk kama watumwa ambapo wenye nguvu walipelekwa Ulaya na America na wale dhaifu wakauzwa hapa hapa Zanzibar

Source ITV Dakika 45
Naunga mkono hoja, ila kwenye taasisi zinazogitaji ukakamavu fulani kama JWTZ, wapo Wazanzibari wa kutosha kutimiza hiyo akili?. Niliwahi kuuliza Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
P
 
Wazo lako sio zuri P sababu objective yake sio kusaidia Taifa Bali kuharibu
dig dip utakua Kwanini general wote ni aina fulan hii ni kwa sababu maalumu
Mkuu Ngungenge kwenye hili la ku dig deep, naomba unisaidie, maana mambo mengine ni issues za uwezo!, sina uwezo wa ku dig deep into this!.
P
 
Mfumo Kristo uliosisiwa na mkoloni na waliofata wakauendeleza kwa nguvu zote.

Kumbuka, Tanganyika ilikuwa ni koloni la Mjerumani.
Maadam nchi yetu ni circular state, haina dini, viongozi wetu wana dini, kama ni kweli mkoloni ndio alileta mfumo Kristo na viongozi wetu wakauendeleza, hii inamaanisha hata Mwinyi, JK na sasa Samia, wanaendeleza mfumo Kristo?.
P
 
Maadam nchi yetu ni circular state, haina dini, viongozi wetu wana dini, kama ni kweli mkoloni ndio alileta mfumo Kristo na viongozi wetu wakauendeleza, hii inamaanisha hata Mwinyi, JK na sasa Samia, wanaendeleza mfumo Kristo?.
P
Hizi mada zenu sijuagi lengo lake...mwisho wa siku ni kuleta ubaguzi usio na tija...

NB:maisha yetu ni mafupi sana hebu tujikite kuleta amani na upendo miongoni mwetu..Kuna watu kupitia mada zenu za kujenga chuki na taharuki ktk jamii,ndo mnawaandaa kuwa terrors...mbona Kuna mambo mengi TU mazuri yakuzungumzia kuliko hili ulilolileta mtoa mada Pascal Mayalla
 
Hizi mada zenu sijuagi lengo lake...mwisho wa siku ni kuleta ubaguzi usio na tija...

NB:maisha yetu ni mafupi sana hebu tujikite kuleta amani na upendo miongoni mwetu..Kuna watu kupitia mada zenu za kujenga chuki na taharuki ktk jamii,ndo mnawaandaa kuwa terrors...mbona Kuna mambo mengi TU mazuri yakuzungumzia kuliko hili ulilolileta mtoa mada Pascal Mayalla
Kazi ya media, ukinote jambo lolote ambalo haliko right, ni rukhsa kuhoji, usije kuta kuna kundi fulani la jamii yetu linafanyiwa a systematical marginalisation bila sisi kujijua tukidhani it's just a coincidence!. Dawa ya kulitibu tatizo hili sio kulinyamazia, bali kuliongelea kinagaubaga.
P
 
Uaminifu, uadilifu na uchapa kazi ni tabia binafsi ya mtu haina uhusiano na ukabila.
Take it from me, kuna makabila uaminifu wao kwenye fedha ni wa mashaka!. Kuna makabila wanawake wao, uaminifu wao kwenye ndoa ni wa mashaka!. Huwezi mlinganisha Mwanamke wa Kikwere na Mwanamke wa Kichagga!. Mwanamke wa kichagga unaweza kumuacha mgombani kumuona ni Krisimasi hadi Krisimasi, na ukamkuta salama!, Mwanamke wa Kikwere lazima aende ngomani!, huko ngomani sasa...!.

Hivyo makabila hayalingani!, Wasukuma ni waaminifu sana na wachapa kazi Kiukweli nimeguswa sana na uchapakazi wa Rais Magufuli!. Je, kuna uhusiano kati ya kabila la mtu, na uchapakazi wake?. Je, 2020 kuna haja ya... uhusiano wa kabila la mtu na uchapakazi, na sio uchapakazi tuu, hata ukakamavu, kuna makabila laini laini na makabila wagumu! Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
P
 
Take it from me, kuna makabila uaminifu wao kwenye fedha ni wa mashaka!. Kuna makabila wanawake wao, uaminifu wao kwenye ndoa ni wa mashaka!. Huwezi mlinganisha Mwanamke wa Kikwere na Mwanamke wa Kichagga!. Mwanamke wa kichagga unaweza kumuacha mgombani kumuona ni Krisimasi hadi Krisimasi, na ukamkuta salama!, Mwanamke wa Kikwere lazima aende ngomani!, huko ngomani sasa...!.

Hivyo makabila hayalingani!, Wasukuma ni waaminifu sana na wachapa kazi Kiukweli nimeguswa sana na uchapakazi wa Rais Magufuli!. Je, kuna uhusiano kati ya kabila la mtu, na uchapakazi wake?. Je, 2020 kuna haja ya... uhusiano wa kabila la mtu na uchapakazi, na sio uchapakazi tuu, hata ukakamavu, kuna makabila laini laini na makabila wagumu! Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
P
Nasisitiza tena uaminifu na uadilifu ni tabia binafsi ya mtu na sio ukabila.
 
Back
Top Bottom