Ni mpango wa shetani katika kutimiza azma yake.Shetani ndio kamwambia mwanamke avae artificial?! Makubwa ๐ถ๐ถ
Mwandiko wangu unasemaje madam!!Ivi wewe NI Me au ke?!
Ukiona mwanaume anavaa vitu artificial ni shoga, anawaiga nyie ili mfanane, hakuna mwanaume mwenye huo upuzi wa kujipodoaMbona wanaume skuhizi mnavaaga vitu artificial
Nishaanza kunywa bingwa hapa uje ulipe sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kunasiku nilijipeleka kujibandika hayo makucha bhana..kha!!nilikuwa natembembea vidole nimeweka kama mamba [emoji23][emoji23][emoji23]nilishwandwaga kabisa.
Kubaki asilia ni nzuri zaidi[emoji9][emoji9]
Ila na nyie wanaume hamueleweki saa ingine..akikatiza mdada katupia hayo makorokocho huwa mnavurugwa kabisaaa..
Cha muhimu ni kila mtu abaki vile anavyoona moyo wake unafurahi.[emoji3344][emoji3344]
Sasa utavaa vitu vya artificial mkienda kuishi wote asubuhi mkiamka vuruguvurugu mwanaume unaanza kujiuliza hivi huyu nimempendea nini, nakupa hiyo siri ba wengine mjue hiliNishaanza kunywa bingwa hapa uje ulipe sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kunasiku nilijipeleka kujibandika hayo makucha bhana..kha!!nilikuwa natembembea vidole nimeweka kama mamba [emoji23][emoji23][emoji23]nilishwandwaga kabisa.
Kubaki asilia ni nzuri zaidi[emoji9][emoji9]
Ila na nyie wanaume hamueleweki saa ingine..akikatiza mdada katupia hayo makorokocho huwa mnavurugwa kabisaaa..
Cha muhimu ni kila mtu abaki vile anavyoona moyo wake unafurahi.[emoji3344][emoji3344]
Usimbishie lete ushahidi, kama haya mambo ya artificial hayana ushetani ndani yake kucha na nywele za bandia, hivi unajua majini yanakaa sana kwenye nywele za bandia wewe unajua zimetoka wapi?Shetani ndio kamwambia mwanamke avae artificial?! Makubwa [emoji124][emoji124]
Hawezi kukuelewa nae ni walewaleNi mpango wa shetani katika kutimiza azma yake.
Alianza na mkutano wa Beijing,haki sawa mwanamke na mwanaume..(sasa hapa kuna mambo mengi mno ikiwa ni pamoja na hizo vitu bandia,kuchubua miili..na mengine mengi hata nikiyaelezea sitoeleweka)
Sasa anaenda kwa wanaume.
Unafikiri hapa tulipo tupo salama!!!ni huruma ya Mungu inahitajika tu.
Eheee nakunywa bingwa bhana..nishafika bingwa ya sita leo 77๐ ๐Hahaha unakunywa bingwa [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Nooo ni wanaume wachache sana wanavutiwa na wanawake wenye kutumia artificial urembo...
Nakupa hii siri sisi wanaume tunapendezwa sanaaa na wanawake wenye asili yao, kwa kweli huwa mnatupa mvutoo wa ajabu sana mkiwa asili
Kula LIKE POPOTE ULIPO.Sasa utavaa vitu vya artificial mkienda kuishi wote asubuhi mkiamka vuruguvurugu mwanaume unaanza kujiuliza hivi huyu nimempendea nini, nakupa hiyo siri ba wengine mjue hili
Eheee nakunywa bingwa bhana..nishafika bingwa ya sita leo 77[emoji28][emoji28]
Wooooooozaaaaaaaaahhhhh.....
Kama ni kweli hili ulisemalo basi tunashukuru..tutaanza kubaki na uziri wetu wa asilia aise..
Leo naenda kutafuta mafuta ya samli nianze pakaa ngozi iwe nyororo[emoji28][emoji28]
Nimezipokea, ongeza bingwa nyingineKula LIKE POPOTE ULIPO.
Tunakoelekea siko kabisa aise๐ฅบ๐ฅบ๐ฅบHawezi kukuelewa nae ni walewale
Wapi wanaovutiwa nao ..Chukulia mfano uwepo wa artificial hivi ni mwanaume gani anavutiwa nao, uwepo wa madukani???
Naongeza๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธNimezipokea, ongeza bingwa nyingine
Ili kukimbizana na idadi yenu, mpo wengi sana acha uchoyoVipi na wanaume kuweka mwanamke juu ya mwanamke.
Najaribu kuwaza kwa sauti
SawaIli kukimbizana na idadi yenu, mpo wengi sana acha uchoyo
Doh, Aya bwana, I agree to disagree in the endNi mpango wa shetani katika kutimiza azma yake.
Alianza na mkutano wa Beijing,haki sawa mwanamke na mwanaume..(sasa hapa kuna mambo mengi mno ikiwa ni pamoja na hizo vitu bandia,kuchubua miili..na mengine mengi hata nikiyaelezea sitoeleweka)
Sasa anaenda kwa wanaume.
Unafikiri hapa tulipo tupo salama!!!ni huruma ya Mungu inahitajika tu.