iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,927
Uko wapi na bei tsh ngapi?kama benk haviruhusiwi kukaa vitu viandavyo kasi basi nadhani tusifikirie magari kwa sababu farasi ana mbio kweli.Hamjui kwanini kuna measurement ya hores power?.mwisho kabisa nauza farasi wadogo ila sio uje uchukue ufanyie wizi...