Je, Kuna ukweli kuhusu uvumi wa magari aina ya range rover miaka ya 1980s?

Je, Kuna ukweli kuhusu uvumi wa magari aina ya range rover miaka ya 1980s?

kama benk haviruhusiwi kukaa vitu viandavyo kasi basi nadhani tusifikirie magari kwa sababu farasi ana mbio kweli.Hamjui kwanini kuna measurement ya hores power?.mwisho kabisa nauza farasi wadogo ila sio uje uchukue ufanyie wizi...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] KAMA VIENDAVYO KASII TUU
YAWEZEKANA HUSEIN BOLT HATAKIWI KWENDA BENKI[emoji16][emoji16][emoji16]
 
hv kwann boxer inatumika kweny matukio sana juz wamemuua sijui nan wameenda na boxer na XR 250 zko nyng tu
Nadhani wanatumia boxer 150 kwa sababu zipo nyingi, kwa hiyo kujichanganya na kuwatoka askari au raia wanaowafukuzia ni rahisi. Wakitumia pikipiki kubwa inakua rahisi kukamatwa coz zipo chache, ni rahisi kuandamwa hadi wakamatwe au kuuwawa
 
Back
Top Bottom