JimCarrey
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 214
- 124
boughtti ndo speed mwisho!!
408.84 km/h ona speed hiyo!!
Kaka aina ya gari uloandika na picha yako haviwiani[emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
boughtti ndo speed mwisho!!
408.84 km/h ona speed hiyo!!
Boxer ikipaki nje ya bank, yerewiiiiiiiiiiii lazima MTU aumizwwKweli ila kwa sasa ni boxer
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] KAMA VIENDAVYO KASII TUUkama benk haviruhusiwi kukaa vitu viandavyo kasi basi nadhani tusifikirie magari kwa sababu farasi ana mbio kweli.Hamjui kwanini kuna measurement ya hores power?.mwisho kabisa nauza farasi wadogo ila sio uje uchukue ufanyie wizi...
hivi BOXER imekubalika sana kuliko BAJA za watoto wa ARUSHA?Boxer ikipaki nje ya bank, yerewiiiiiiiiiiii lazima MTU aumizww
Nadhani wanatumia boxer 150 kwa sababu zipo nyingi, kwa hiyo kujichanganya na kuwatoka askari au raia wanaowafukuzia ni rahisi. Wakitumia pikipiki kubwa inakua rahisi kukamatwa coz zipo chache, ni rahisi kuandamwa hadi wakamatwe au kuuwawahv kwann boxer inatumika kweny matukio sana juz wamemuua sijui nan wameenda na boxer na XR 250 zko nyng tu