Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,667
- Thread starter
- #21
Nipo poa mamie sijui wewe snowhite ,mi nipo tu my dear sema vijimambo tu vya hapa na pale vinanifanya napotea na kuibuka kama hivi humu JFBlue G umemissika, uko poa mumie?
Tabia ya mtu ina asili mbili
-Kuzaliwa
-Kujifunza
Kuzaliwa ni ile tu uko ulivyo ndo umezaliwa hivyo na ndo Mungu alitaka uwe hivyo.
Kujifunza kunatokana na mengin, mazingira, uchumi, mapenzi, taaluma, kazi, na mengine ya aina hiyo!
Kuhusu mtu kumbadilisha mwingine hasa kwenye mapenzi nawezekana iwapo tu huyo mtu anataka kubadilika!
mf:Mtu una tabia ambayo kila siku inafanya mnakuwa na ugomvi na mhusika, hii inaweza kuwabadilisha hata ile Amani mliyo nayo!
Very likely utataka kuondoa hiyo hali, as unampenda huyo mtu na hutaki kumkwaza na kufanya wewe uwe chanzo cha ukorofi!
Mostlikely utabadilika!
Ila kinyume na hapo,!
Subutuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
asante sana kwa ufafanuzi mzuri my dear,sina nyongeza kwa kweli
ila hapo mwisho nilipobold umenicehekesha kwa kweli sio kwa msisitizo huo hahahahahahahahaha