Je kuna ulazima kwa developer kujua kila component ya ide

Je kuna ulazima kwa developer kujua kila component ya ide

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,134
Reaction score
3,064
HABAR WADAU hope wote mpo poa

Leo nina maswali mengi sana wadau nilitaka nifungue uzi mmoja niweke mada zote ila nikaona nitawachanganya wadau ngoja nifungue kila kitu na uzi wake uzi huu niliwahi kuuandika apo nyuma sema sikuwa na screenshoot ivo mada ikakosa mashiko leo sasa twende pamoja pia wadau mtani samehe kwa mwandiko natumia ms word ukiweka Kiswahili as proofing languange baadhi ya maneno hawayacorrect vizuri na hio pia ni kesi nyingine SIJUI niweke nini kwenye m word ili niwe na type kwa raha pale ninapoandika thread za Kiswahili

Mimi bado sipo vizuri sana kwenye coding na bado ni km najifunza sasa kuna sehemu nimekwama wadau naomba mnisaidie samahani km nitakuwaa msumbufu au nauliza kitu ambacho kinawachanganya mm nimejifunza vitu vingi ndani ya coding lakini shida ni kuviunganisha na kuanza kufanya Project km kudesign system na kazalika

Swali langu la kwanza ni hili je kuna ulazima wa developer kujua kila component za VISUAL STUDIO IDE na kazi zake ?

Hapa naomba mnielewe vzr simaanish kujua kila component specificallly NO !!!!! kujua generally kujua kwa ujumla li utapokiona sehemu usipate mashaka nacho

Eg. Programming languages huwezi kuzijua zote ila ukijua tu majina yake na kazi zake imetosha ivo ukipita sehemu ukaona

F# , C# , java hushangai

Sasa nimeweka picha apa hizi ni individual component nataka tuzijua kwa ujumla ili tujue kazi zake na isipokuwepo IDE haitaweza kufanya kazi gani

Mfano vity hivi vina kazi gani

RUNTIME

FRAMEWORK

SDK

TARGETING PACK

DEVELOPMENT TOOL

Zengine nadhani mnaziona tujuzane tu kazi zake kiujumla ni zipi

1635398249437.png


1635398277231.png


1635398305109.png


1635398352978.png


1635398378350.png


1635398401291.png


1635398427263.png
 
Hapana, IDE ni kitendea kazi kinachokuwezesha kuandika codes na ku-run codes zako, vingine unaweza usivitumie mpaka siku utakapovihitaji, you learn as you go.

Ni kama gari, kazi yake ni kukufikisha kutoka point A kwenda point B, kuna vitu basic unatakiwa uvijue ili uweze kukaa barabarani, ndio maana ukienda kwenye driving school utafundishwa vitu muhimu ili utimize malengo (kuendesha kutoka point A kwenda point B) huwezi ukafundishwa kila kitu kilichomo kwenye gari, unavyozidi kuliendesha utapata matatizo na utajifunza jinsi ya kujinasua na kujua mengi zaidi.
 
IDE ni nyenzo kama ms word, ms power point nk ili kufanya presentation "uwasilishaji" unaweza kutumia ms power point lkn siyo lazima nakama ume amua kutumia ms power point huna haja yakujua kila kipengele kama hukitumii, utajua vipengele unavyo vitumia mara kwa mara nakukua mdogo mdogo . KUMBUKA SIYO LAZIMA KUTUMIA IDE KUANDIKA CODE HATA TEXT EDITOR KAMA NOTEPAD INATOSHA. HATA HIVYO GITHUB COPILOT ITAKUWA CHAGUO LA MSINGI "Default" hasa ukizingatia inafanya kazi kwenye vivinjari vyote.
Assumption nime scratch surface
 
IDE ni nyenzo kama ms word, ms power point nk ili kufanya presentation "uwasilishaji" unaweza kutumia ms power point lkn siyo lazima nakama ume amua kutumia ms power point huna haja yakujua kila kipengele kama hukitumii, utajua vipengele unavyo vitumia mara kwa mara nakukua mdogo mdogo . KUMBUKA SIYO LAZIMA KUTUMIA IDE KUANDIKA CODE HATA TEXT EDITOR KAMA NOTEPAD INATOSHA. HATA HIVYO GITHUB COPILOT ITAKUWA CHAGUO LA MSINGI "Default" hasa ukizingatia inafanya kazi kwenye vivinjari vyote.
Assumption nime scratch surface
cool
 
Back
Top Bottom