Je, Kuna ulazima mwanamke abadili jina baada ya kuolewa?

Je, Kuna ulazima mwanamke abadili jina baada ya kuolewa?

...dah, hebu ninukulie hicho kifungu kipo kitabu gani, ngapi mpaka ngapi... nimejaribu kuperuzi na kudadisi bila mafanikio.

Inakuwaje pale mtaliki wako anapata mafanikio makubwa ya kikazi na maisha simply kwa kutumia ujiko (wa) jina la ukoo wako? halafu ukimgusa jeuri nyiiiiingi! Inauma eeh 🙂


Kasome/soma Isaya 4:1 na kuendelea utapata huo utabiri.
 
Kasome/soma Isaya 4:1 na kuendelea utapata huo utabiri.
asante sana bwana Malila, ni kweli isaya 4:1 inasomeka hivi
"Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema,Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, LAKINI TUITWE TU KWA JINA LAKO; utuondolee aibu yetu"
nadhani sasa ndio tupo kwenye hiyo stage kwa maana wanawake wengi wana uwezo wao wa kujikimu na kujitunza , tatizo kubwa walilonalo ni mambo ya ndo kuitwa MRS
 
asante sana bwana Malila, ni kweli isaya 4:1 inasomeka hivi
"Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema,Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, LAKINI TUITWE TU KWA JINA LAKO; utuondolee aibu yetu"
nadhani sasa ndio tupo kwenye hiyo stage kwa maana wanawake wengi wana uwezo wao wa kujikimu na kujitunza , tatizo kubwa walilonalo ni mambo ya ndo kuitwa MRS

Usione mdada/mmama kapiga buku na mihela juu halafu anakwenda kuegesha kwa mtu mwenye mke na familia yake,tayari ilisha andikwa hiyo. Mtu kung`ang`ania surname ya mtu saa nyingine humpa heshima fulani mbele ya jamii kwamba yeye sio NUNGAYEMBE fulani hivi,ila yuko single kwa ajali ya ndoa/mapenzi and alike.
 
Mimi ninaona kutumia surname ya mwanaume ni aina ya unyonge ambayo wanawake wanayo, inabidi wanawake wajitoe kwenye unyonge huo.
Haiwezekani mwanaharakati wa masuala ya akina mama aliyesimama kidete kupinga mfumo dume ilhali yeye mwenyewe anaitwa Mrs. Juma, wanawake watajikomboa kweli?
 
Mimi ninaona kutumia surname ya mwanaume ni aina ya unyonge ambayo wanawake wanayo, inabidi wanawake wajitoe kwenye unyonge huo.
Haiwezekani mwanaharakati wa masuala ya akina mama aliyesimama kidete kupinga mfumo dume ilhali yeye mwenyewe anaitwa Mrs. Juma, wanawake watajikomboa kweli?

mwanamke aliumbwa kwa sababu ya mwanaume na si mwanaume kwa sababu ya mwanamke na hiyo hata kama hautafata misingi ya kidini ni hiko hivyo tu, hata ukienda kwenye maeneo ambayo hakuna dini kabisa wanafata system hiyohiyo ambayo ni nature
 
mwanamke aliumbwa kwa sababu ya mwanaume na si mwanaume kwa sababu ya mwanamke na hiyo hata kama hautafata misingi ya kidini ni hiko hivyo tu, hata ukienda kwenye maeneo ambayo hakuna dini kabisa wanafata system hiyohiyo ambayo ni nature


Hey wake-up sasa hivi ni asubuhi mbona wewe bado umelala? Au kausingizi bado ni katamu na ndoto zako hazijakwisha?
 
uIslam raha sana, hakuna kutumia jina la mume. Mke na lake na mume na lake. waIslam wanaotumia majina ya waUme zao wanapo-olewa waelimishwe kuwa hayo si maadili ya kiIslam, waachane nayo kabisa, ni kujidhalilisha.
 
...Ni lazima mke akishaolewa kutumia jina ukoo la mumewe? ...vipi huyo mke akiendelea kutumia jina hilo hata baada ya kuachika? ...mume ana mamlaka ya kumnyang'anya mtaliki wake "hatimiliki" ya kuendelea kutumia jina la ukoo (wa mume)?

Mbu,

very interesting topic umeleta.

Kwanza kabisa sio lazima abadili jina to my name.
Lakini if she did na tukichana, inabidi unirudishie
jina langu usije ukaniharibia 'CV' huko mbele.

regards.
 
Huu mjadala umekuwa mrefu ila ni mzuri ningependa kuchangia......

inawezekana ni mtazamo wangu ila nilikuwa naamini kuwa kwa mwanamke kubadili jina akishaolewa ni ishara kuwa anakupenda na amekukubali wewe uwe kiongozi wa familia yake (kama ambavyo alikubali baba yake mzazi kuwa kiongozi wake kabla hajaolewa). ingawaje ni kitu cha kurithi lakini maana yake huwa inabadilika kizazi kwa kizazi.

Hivyo basi mwanamke wa leo akibadili jina na kumfuata mumewe kwangu mie nalichukulia kama ishara ya upendo na kamwe si utumwa au kujidhalilisha kama tu ilivyo kwa mke kumfulia mume underwear (si kwa kuwa ni kazi yake kama mke bali anaweza amua kufua au kuacha isipokuwa kama anampenda sana mumewe na hapendi kumwona akiteseka kufua)

Nawakilisha
 
Anaesema ni ishara ya utumwa muongo kwani hata sheria zote zinatambua hivyo au unataka niambia kuna Mr Opra hapa? maana hata internationally mie nikitumia passport yenye jina la maiden then certificate au vyeti vingine ni Mrs inakubalika kabisa. Pili kama kuna huo usawa vipi watoto waitwe jina la nani??? Kuna kinamama ambao wanawaita watoto majina yao ila sifahamu kwenye birth certificate wameandikwa nini?
Kwako Mwanajamii1 kufua underwear, ni sawa tu kwani mie nae niona wezi wamekuja nina amani kabisa najua hiyo ni role ya Mr: ni mgawanyo tu wamajukumu nikiwa pregnant hata yeye anaweza kufua. Kikubwa ni upendo, maadili na utii ndani ya nyumba=amani
 
...Hivyo basi mwanamke wa leo akibadili jina na kumfuata mumewe kwangu mie nalichukulia kama ishara ya upendo na kamwe si utumwa...

....Sasa iweje Mwanamke akiachika au hata akishaolewa na Mume mwingine bado anang'ang'ania kutumia Surname ya ex -wake?

Na mifano ya karibu, lakini katika ku protect anonymity ya 'mbu' katika uenezi wa malaria, sitotaja majina 😀

...kwa celebrities, kuna kina Tina Turner, Graca Machel, Winnie Madikizela -Mandela...
 
....Sasa iweje Mwanamke akiachika au hata akishaolewa na Mume mwingine bado anang'ang'ania kutumia Surname ya ex -wake?

Na mifano ya karibu, lakini katika ku protect anonymity ya 'mbu' katika uenezi wa malaria, sitotaja majina 😀

...kwa celebrities, kuna kina Tina Turner, Graca Machel, Winnie Madikizela -Mandela...

. Ni kweli inashangaza lakini nafikiri pia suala la usumbufu na mazoea linaweza kuchangia. Kunakuwa na previledges ambazo mtu alikuwa akizipata wakati ule na asingependa kuzikosa so anabakia na jina ila kuna wale wengine ambao kusema kweli huwa hawajali wala hawajui kama ina athari.

Sipati picha ningekuwa mie lol siku ya kurudisha makabrasha yake namrudishia na jina lake labda kama kaniacha wakati bado nampenda............. mbona atakoma!
 
....Sipati picha ningekuwa mie lol siku ya kurudisha makabrasha yake namrudishia na jina lake labda kama kaniacha wakati bado nampenda............. mbona atakoma!

...dah! ...yaani hivyo ulivyoandika tu hapo mimi tayari 'nimeshakoma!' 😀
 
Hapa tunaongelea patrimonial tu lakini kumbukeni pia matrimonial
 
Look at this piece of info and read it well.

Senator Hillary Rodham Clinton has dropped the use of her maiden name "Rodham" in her bid for the Democratic presidential nomination.

Clinton identifies herself as "Hillary Clinton" in her campaign press releases and on her campaign website. The lone mention of her maiden name is in a campaign biography that says "Hillary's father, Hugh Rodham, was the son of a factory worker from Scranton."

She continues to use "Hillary Rodham Clinton" in her New York-focused press releases and in the Senate.

Clinton appeared surprised last week when asked why her presidential campaign had dropped her maiden name. Clinton laughed, shook her head and replied: "I haven't, I haven't," before dashing off.

Howard Wolfson, a top communications adviser to Clinton, downplayed any significance to the change. Asked if it was a strategic decision to drop "Rodham," Wolfson replied: "That's a fair question, but there's no plan behind it."

The second-term senator and former first lady has emphasised various names in Arkansas and Washington, DC, over the past 25 years.

Laurie Scheuble, a sociologist at Pennsylvania State University who has studied the choice of last names by married women, says Clinton's decision to drop her maiden name puts her in sync with the vast majority of married women in America.

"To most people, family means everyone having the same last name," says Scheuble, author of "Trends in Women's Marital Name Choice: 1966-1996" and "Attitudes Toward Nontraditional Marital Name Choices." "She's doing the right thing politically to appeal to the most voters. She's conforming to the social norm."

Married working women often face a dilemma over whether to retain their maiden name alone, use both their maiden name and their husband's last name or use their husband's last name alone.

Clinton and seven other married women in the Senate have adopted the names of a husband. Only Clinton and Sen Kay Bailey Hutchison have used their maiden names in conjunction with their husbands' last names.

Scheuble says her research shows that 95 percent of married women use a husband's last name. Of those, about 25 percent informally use their maiden name as a middle name.

About 4 percent retain their maiden name as their last name.

And about one percent legally change their last names to hyphenated names that include both their maiden name and a husband's last name.

Hillary Rodham married Bill Clinton, her Yale Law School classmate, in 1975 in Fayetteville, Arkansas.

She continued to identify herself as "Hillary Rodham" in her private legal career at the prestigious Rose law firm in Little Rock as Bill Clinton won statewide election as attorney general in 1976 and as governor in 1978.

But in 1980, Bill Clinton narrowly lost his bid for re-election as governor, in part because Republican challenger Frank White made an issue out of Hillary Rodham's professional independence in the socially conservative state. White repeatedly emphasised to voters that his wife was known as "Mrs. Frank White."

After Bill Clinton lost his bid for a second term as governor, the politically ambitious couple regrouped for a political comeback. Hillary Rodham began to identify herself as "Hillary Clinton" amid statewide polls that showed her reliance on her maiden name had cost her husband as much as six percentage points among voters.

Bill Clinton won a second term as governor in 1982; Hillary Clinton used that name for the remainder of her husband's gubernatorial campaigns and during his 1992 presidential campaign.

When the Clintons moved into the White House in 1993 and the couple mapped an independent policy role on health care for Hillary Clinton, she began to use "Hillary Rodham Clinton" - a moniker that she retained through eight years as first lady and in her two Senate campaigns in 2000 and 2006.

Shortly after the Clintons moved into the White House in January 1993, the Gallup Poll asked 1,001 Americans in a telephone survey to gauge Clinton's decision to have people call her "Hillary Rodham Clinton" instead of "Hillary Clinton."

The survey found 9 percent thought the name change was a good idea, 21 percent thought it was a bad idea and 69 percent said it "doesn't matter much."

NY Times
sio kila wanachofanya wazungu na wamarekani ni sahihi,wakinadada tumieni majina yenu

jamaa mmoja baada ya kuasiana na mkewe alienda kumfanyia fujo ofisini asitumie tena jina lake ,eti anmzibia bahati yake ,wabeijing mpo,
si rahisi babako kukwambia usitumie jinalake ukimuudhi
 
...pia kuna wanawake ambao wakiolewa wanatumia jina la mumewe ikitokea ameachika akaolewa tena anatumia jina la mumewe wa zamani na mwisho jina la mumewe mpya....

angalia ,

ANNA KILANGO.......mr kilango was her first husband...

ANNA KILANGO MALECELA...hon.malecela her present husband..

loook also to women who after divorce .....they resume there surname as maiden and keep the divorced surname at the end .....

see...

WINNIE MADKHZELA...

WINNIE MANDELA ..

WINNIE MADKHZELA MANDELA- after divorce..
kubadilisha au kutokubadilisha kunategemeana na maslahi

kwa hiyo wanawake wengi siku hizi wanaangalia kama majina ya baba zao yana mafao kuliko ya waume zao....

kama jina la baba yako ni kubwa unakuta wanawake wengi halibadilishi...
lakini kama wewe steved jina lako ni kubwa basi huyo binti atabadilisha tu mwenyewe..
msalimie...
 
Mambo ya kubadili jina sio muhimu tena kama zamani, Kuna nchi zingine , mwanamke hauruhusiwi kubadili jina anapoolewa.
 
Forget about kuchukua jina.

Mwanamke kuolewa kumepitwa na wakati.

Kwa nini aolewe?
 
Back
Top Bottom