jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 20,419 Reaction score 39,217 Sep 2, 2024 #121 Ajira zote za utumishi lazima zifanyiwe usaili ili kuepusha kuajiri vilaza kama wewe mleta uzi.
Pleasepast JF-Expert Member Joined May 30, 2023 Posts 509 Reaction score 848 Sep 3, 2024 #122 Gwamanga said: Kwa baadhi ya kada usaili nikupoteza rasilimali fedha, fedha za walipa kodi. Click to expand... Kumbe ndio mnajisemea hivi sawa fainali ni kwenye usaili mbona mtaeleza.
Gwamanga said: Kwa baadhi ya kada usaili nikupoteza rasilimali fedha, fedha za walipa kodi. Click to expand... Kumbe ndio mnajisemea hivi sawa fainali ni kwenye usaili mbona mtaeleza.
boufer Member Joined May 9, 2014 Posts 59 Reaction score 47 Sep 3, 2024 #123 Mbaga Jr said: Utumishi shikilieni hapo hapo, hakuna kada kuajiriwa bila usaili. Kwan kada ya ualimu na afya wana u-special upi mpaka wasifanye usaili wakati kada zingine zinafanya usaili? Utumishi shikilieni hapo hapo, msiachie hata kidogo. Click to expand... πππpiga nyundo nyngn bado anapumua huyo
Mbaga Jr said: Utumishi shikilieni hapo hapo, hakuna kada kuajiriwa bila usaili. Kwan kada ya ualimu na afya wana u-special upi mpaka wasifanye usaili wakati kada zingine zinafanya usaili? Utumishi shikilieni hapo hapo, msiachie hata kidogo. Click to expand... πππpiga nyundo nyngn bado anapumua huyo
boufer Member Joined May 9, 2014 Posts 59 Reaction score 47 Sep 3, 2024 #124 Mbaga Jr said: Utumishi shikilieni hapo hapo, hakuna kada kuajiriwa bila usaili. Kwan kada ya ualimu na afya wana u-special upi mpaka wasifanye usaili wakati kada zingine zinafanya usaili? Utumishi shikilieni hapo hapo, msiachie hata kidogo. Click to expand... πππpiga nyundo nyngn bado anapumua huyo
Mbaga Jr said: Utumishi shikilieni hapo hapo, hakuna kada kuajiriwa bila usaili. Kwan kada ya ualimu na afya wana u-special upi mpaka wasifanye usaili wakati kada zingine zinafanya usaili? Utumishi shikilieni hapo hapo, msiachie hata kidogo. Click to expand... πππpiga nyundo nyngn bado anapumua huyo
N neshika JF-Expert Member Joined Mar 23, 2024 Posts 262 Reaction score 472 Sep 4, 2024 #125 nuporo said: Upo sahihi katika hili.. Idadi kubwa ha wahitimu na uchache wa nafasi za Ajira Hawezi Athiri muhitimu wa muda mrefu mfano 2015 na muhitimu wa 2023 Au wote ni sawa wakishindanishwa katika mitihani hiyo? Click to expand... Nilisikia bungeni ufafanuzi wakipata maksi sawa kati ya 2015 na 2023 atachukuliwa wa 2015.
nuporo said: Upo sahihi katika hili.. Idadi kubwa ha wahitimu na uchache wa nafasi za Ajira Hawezi Athiri muhitimu wa muda mrefu mfano 2015 na muhitimu wa 2023 Au wote ni sawa wakishindanishwa katika mitihani hiyo? Click to expand... Nilisikia bungeni ufafanuzi wakipata maksi sawa kati ya 2015 na 2023 atachukuliwa wa 2015.
A andengenie New Member Joined Apr 7, 2015 Posts 1 Reaction score 0 Sep 8, 2024 #126 Walimu wengi hawataki kufanya interview kwasababu ya uoga na kuto kua vizuri ..
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 Sep 8, 2024 #127 Wafanye usaili wengi wamemaliza kwa kuvua chupi na ujanja ujanja.