Kubota
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 533
- 1,101
Mkuu Hapa kuna Vitu Viwili vinachanganywa
1. Spirit
2. Mchanganuo/Mpango kazi wako
-Mkuu Spirit ya Ujasirimali haina uhusiano na Mchanganuo, na Spirit ni kuwa na hamu sana na biashara na inakusaidia kuto kata tamaa kabisa, na ndo Driving Force katika maisha ya Ujasrimali,
- Unaweza ukawa na hiyo Spirit na usiwe na mafanikio katika biashara yako, na si kweli kambwa kila mwenye hiyo Spirit ni lazima afanikiwe, no Spirit inahitaji force nyingine ya kukupeleka mbele zaidi
- Ndo maana huwa nasema Entreprenership haifundiswi Chuoni, na hakuna Chuo hapa Duniani cha Kufundisha Ujasiriamali, WHY? Kwa sababu Spirt ya Ujasirimali haifundishwi kamwe, ile hutoka moyoni mwako ni like Mapenzi huwezi fundisha mtu Kumpenda mtu fulani, kama hampendi ni hampendi
- So Nini Kinafundishwa Vyuoni?
Kule wanafundisha mambo kama vile, Masoko, Jinsi ya Kuandaa mchanganuo ya biashara, mambo ya Financial plan, customer care, sales skills, Pricing na kazalika, haya hayaitaji Spirit ni lazima either uyasome ili kukusaidia katika biashara zako
-SO KWA NINI WATU WENGI WANA SHINDWA BASI PAMOJA NA KUWA NA MICHANGANUO?
-Jibu ni kwamba hata ukiwa na mchanganu bora kuwahi kutokea, bila utekelezaji mzuri ni hakuna kitu, ni lazima uwe na hiyo Spirit ili usonge mbele na biashara yako
-NA KWA NINI KUNA WATU WAKO KATIKA BIASHARA MIAKA 3O LAKINI HAWAJAPIGA HATUA?
Utakubaliana na mimi kwamba kuna baashi ya watu Mfano, MAMA LISHE, MAFUNDI WA KUTENGENEZA/KUCHONGA MAJIKO NA KAZALIKA, WA MAMA WANAO PIKA VITUMBUA.MANDAZI
Hawa wako kwenye game miaka mingi sana, na wengi wako pale pale n unawaona kweli wako na juhudi sana za kazi zao, mara nyingi hawa ndo wana kosa elimu ya Ujasirimali/Biashara ambayo inaweza wasaidia kujua sasa wana move vipi kutoka hapo walipo, wana kosa kuchanganua mambo
MWISHO, KUNA WATU WENGI SANA WALIKUWA WAFANYA BIASHARA WAZURI/WAJASIRIMLI WAZURI LAKINI LEO HII HAWAPO, WALSHA FILISIKAU KUFA, NA WALIKUWA WANAMILIKI BIASHRA MBALIMBALI
Hawa walikuwa Wajasirimali but walikosa elimu y kuwapeleka mbele, walikuwa hawajui wana panga vipi bei zao, walikuwa hawaui wnatakiwa kwa wapi miaka 30 ijayo, walikwa hawajui wanadill vipi a ushindani, so that is why leo hii hawapo tena,
NA SI KWEI KWAMBA UKIWA NA SPRIT NDO HUWEZI FILISIKA AU KUPOTEA KABISA KWENYE GAME,NA MCHANGAUO UNAWEZA ANDAA WEWE MWENYEWE,
INGAWA KUNA WATU WANA UN WRITEN BUSINESS PLANING, YAANI WAMEANDIKA TU VICHWANI MWAO
Mkuu tuko pamoja naafikiana na wewe kwa mambo mengi ila twende taratibu wengine tuko wazito kuelewa baadhi ya maelekezo. Ninakubaliana kweli kwamba suala la spirit lipo kwa kiasi kikubwa. Sasa kuifanya story iwe fupi ni kwamba hao wenye spirit wapo ni wengi na wengi wamelala, hawajijui tu kuwa wanapotential ya kuwa matajiri! Hao wanahitaji kuhamasishwa kuamsha spirit zao, ni watu wako gereza la kifikra kwa kujiona kuwa wamefungwa na mambo fulani na visingizio kibao kama vile ambavyo wewe Mkuu umekuwa ukifundisha hapa! Spirits huamshwa, ndiyo mafunzo hayo! Kuna watu wanajua kuhamasisha mtu hadi anafunguka! Kuna mbinu zipo za kuamsha spirit na kumfundisha mtu jambo lolote akaweza kulifanya! Haya yanafanyika kila siku watu wanaingia kwenye gemu. Kudhani kwamba ujasiria mali haufundishiki na hakuna chuo cha ujasiria mali duniani hayo ni maneno mazito kuyasemea tu humu JF ambamo kila mtu anasema chochote!!
Hapo kwenye red Mkuu unahitaji kuweka wazi unamaanisha kitu gani iwapo hicho ndicho hicho hicho unakikataa siku zote! Hapo unasisitiza na unakubaliana na ukweli kuwa ujasiria mali unafundishwa. Tujikite kwa hao hao wenye spirit, hao hao wenye courage na hao hao wenye burning desire to be rich, hao hao wachache wenye enthusiasm, suala la kufundisha ujasiria mali lipo pale pale, maneno kuwa ujasiria mali haufundishiki hizo ni lugha za vijiweni tu.