Je, kuna umuhimu wa wananchi kujulishwa afya za viongozi ili pakitokea lolote tusianze kutafuta mchawi?

Je, kuna umuhimu wa wananchi kujulishwa afya za viongozi ili pakitokea lolote tusianze kutafuta mchawi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa mfano Rais wa Marekani inajulikana ana matatizo kadhaa ya kiafya hivyo anapopepesuka au kupoteza kumbukumbu wananchi wa Marekani wala hawashangai bali wanamuombea kwa Mungu.

Hapa Tanzania mtu kama Tundu Lisu wala hatujaelezwa kama kamaliza matibabu yake huko Ubelgiji, tukaona tu anachukua fomu na kuanza kupanda majukwaani kugombea urais halafu angepatwa na lolote tungeanza kutafuta mchawi kuanzia mitaa ya Ufipa hadi Lumumba.

Kiongozi ni mali ya umma siyo familia ni vema afya zao zikajulikana kwa wananchi.

Ramadhan kareem!
 
Kwa mfano Rais wa Marekani inajulikana ana matatizo kadhaa ya kiafya hivyo anapopepesuka au kupoteza kumbukumbu wananchi wa Marekani wala hawashangai bali wanamuombea kwa Mungu.

Hapa Tanzania mtu kama Tundu Lisu wala hatujaelezwa kama kamaliza matibabu yake huko Ubelgiji, tukaona tu anachukua fomu na kuanza kupanda majukwaani kugombea urais halafu angepatwa na lolote tungeanza kutafuta mchawi kuanzia mitaa ya Ufipa hadi Lumumba.

Kiongozi ni mali ya umma siyo familia ni vema afya zao zikajulikana kwa wananchi.

Ramadhan kareem!
Kwa nini Tundu Lisu, na wale wengine, je, tunajua hali zao kiafya?
 
Jiwe mlituingiza chaka 2015 kumbe mgombea yuko taabani. Amefariki 2019 rejea utabiri wa Godbless be Lema.

2020 CCM Ikawa inatembeza mwili tu kugombea urais. Ndiyo maana huo mwili haukupiga kampeni nchi nzima.

Haya mkalazimisha mwili kuapishwa, Lkn March 2021 ukazikwa
 
Kwa mfano Rais wa Marekani inajulikana ana matatizo kadhaa ya kiafya hivyo anapopepesuka au kupoteza kumbukumbu wananchi wa Marekani wala hawashangai bali wanamuombea kwa Mungu.

Hapa Tanzania mtu kama Tundu Lisu wala hatujaelezwa kama kamaliza matibabu yake huko Ubelgiji, tukaona tu anachukua fomu na kuanza kupanda majukwaani kugombea urais halafu angepatwa na lolote tungeanza kutafuta mchawi kuanzia mitaa ya Ufipa hadi Lumumba.

Kiongozi ni mali ya umma siyo familia ni vema afya zao zikajulikana kwa wananchi.

Ramadhan kareem!
Mkuu naona umetutafutia sababu ya kumsumbua marehemu huko aliko. Siingii kwenye huu mtego kwa leo
 
Kwa mfano Rais wa Marekani inajulikana ana matatizo kadhaa ya kiafya hivyo anapopepesuka au kupoteza kumbukumbu wananchi wa Marekani wala hawashangai bali wanamuombea kwa Mungu.

Hapa Tanzania mtu kama Tundu Lisu wala hatujaelezwa kama kamaliza matibabu yake huko Ubelgiji, tukaona tu anachukua fomu na kuanza kupanda majukwaani kugombea urais halafu angepatwa na lolote tungeanza kutafuta mchawi kuanzia mitaa ya Ufipa hadi Lumumba.

Kiongozi ni mali ya umma siyo familia ni vema afya zao zikajulikana kwa wananchi.

Ramadhan kareem!
Wee Mama..
Bado unaweweseka tu na kifo cha mumeo Meko..??
He has gone for good yani..!!!
Pambana tu kulea hiyo mimba aliyokuachia.
 
Kwa mfano Rais wa Marekani inajulikana ana matatizo kadhaa ya kiafya hivyo anapopepesuka au kupoteza kumbukumbu wananchi wa Marekani wala hawashangai bali wanamuombea kwa Mungu.

Hapa Tanzania mtu kama Tundu Lisu wala hatujaelezwa kama kamaliza matibabu yake huko Ubelgiji, tukaona tu anachukua fomu na kuanza kupanda majukwaani kugombea urais halafu angepatwa na lolote tungeanza kutafuta mchawi kuanzia mitaa ya Ufipa hadi Lumumba.

Kiongozi ni mali ya umma siyo familia ni vema afya zao zikajulikana kwa wananchi.

Ramadhan kareem!
John tuliza Kasesela yako. We hujui huku kwetu tunachaguaga Rais mwenye
matatizo ya moyo mpaka anaogopa kupanda ndege halafu tunasema huyo ndo Mzalendo kweli kweli
 
John tuliza Kasesela yako. We hujui huku kwetu tunachaguaga Rais mwenye
matatizo ya moyo mpaka anaogopa kupanda ndege halafu tunasema huyo ndo Mzalendo kweli kweli
Daaaaaaaaaah......taratibu jamani hizi comments jamani
 
Kuna wananchi bado Wana wasiwasi kuhusu kifo Cha Magufuli,maana wanadai kwa nini watangaziwe kifo tu na si ugonjwa?
 
Kwa mfano Rais wa Marekani inajulikana ana matatizo kadhaa ya kiafya hivyo anapopepesuka au kupoteza kumbukumbu wananchi wa Marekani wala hawashangai bali wanamuombea kwa Mungu.

Hapa Tanzania mtu kama Tundu Lisu wala hatujaelezwa kama kamaliza matibabu yake huko Ubelgiji, tukaona tu anachukua fomu na kuanza kupanda majukwaani kugombea urais halafu angepatwa na lolote tungeanza kutafuta mchawi kuanzia mitaa ya Ufipa hadi Lumumba.

Kiongozi ni mali ya umma siyo familia ni vema afya zao zikajulikana kwa wananchi.

Ramadhan kareem!
Naona bado una hanhover ya report ya CAG mpaka leo.

Magufuli alikua anaenda kuimaliza hii nchi.
Screenshot_20210408-213742.jpg
 
Kwa mfano Rais wa Marekani inajulikana ana matatizo kadhaa ya kiafya hivyo anapopepesuka au kupoteza kumbukumbu wananchi wa Marekani wala hawashangai bali wanamuombea kwa Mungu.

Hapa Tanzania mtu kama Tundu Lisu wala hatujaelezwa kama kamaliza matibabu yake huko Ubelgiji, tukaona tu anachukua fomu na kuanza kupanda majukwaani kugombea urais halafu angepatwa na lolote tungeanza kutafuta mchawi kuanzia mitaa ya Ufipa hadi Lumumba.

Kiongozi ni mali ya umma siyo familia ni vema afya zao zikajulikana kwa wananchi.

Ramadhan kareem!
Afya ya Magonjwa gani?
 
Back
Top Bottom