Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #41
Akili fupi tu.Hapo sasa...
Tuna miaka 60 tuko huru, Bado tu wametuganda??Ila sisi walituganda kishenzi mpaka kesho, hatujitambui, tuna tamaa, tunatamani kila kitu chao.
Ndio wametuganda na sisi tumewaganda vilevile.Tuna miaka 60 tuko huru, Bado tu wametuganda??
Upumbavu mzigo mzito sasa umejibu nntofauti wa fikra upo mkubwa tu [emoji205]
Mathalani watu weupe,
wanafikiri ushoga ni haki yao ya msingi,
hali ya kuwa Waafrika wanafikiri ushoga ni dhambi, ni uovu, uchafu na ni kinyume na maadili na zaidi sana ni chukizo machoni pa Mungu [emoji205]
R.I.P Laigwanani comrade ENL
kwaresma ya4 leo badala ya kutubu unatenda dhambi zaidi 🐒Upumbavu mzigo mzito sasa umejibu nn
Kuna mshangao, ni kwa nini Afrika haiendelei ingawa ina rasilimali asili lukuki?
Hoja kubwa inayojengewa nadharia nyingi mbalimbali duniani ni kwamba Waafrika wana uwezo mdogo sana wa kufikiri tofauti na watu wa kutoka sehemu nyingine duniani.
Je, ni kweli kwamba Waafrika uwezo wao wa kufikiri ni mdogo kuliko watu toka mabara mengine?