Uchaguzi 2020 Je, kuna uwezekano kutangaza nia kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa baadhi, kunatumika kama kichaka cha kujifichia aibu ya kushindwa ubunge?.

Hawezi kuwacha upambe mpaka kaka yake atoke altare maana siku hizi ni yesu wa lumumba
nijibu haya maswali;
1. Kutia nia urais kunawanyima kugombea ubunge?
2. Unasema watapata aibu,je hata duniani walizaliwa kuja kuwa wabunge?hakuna maisha bila ubunge?
Bonus: utaacha lini upambe?
 
Watashindwa kwa kukubaliwa kwa CCM au kwa mabavu mapya ya CCM yakishirikisha dola? Nadhani Rafiki yangu unakengeuka sasa! Yellow isn't blue, I think you certainly know that! Just call a spade, spade not another version of the spoon!!
Huyo jamaa ni mnafiki wa kiwango cha SGR!!
 
Pascal amekumbuka shuka wakati kusha kucha, kayachezea maisha kwenye ujana sasa anataka awe dc
Yaani andiko lote limejaa kudhani kuudhani! Ungesema wametia nia wengi kwakua wameshaona kuwa mgombea wa CCm atakua mwepesi...hili ni mojawapo ya maandiko dhaifu na yenye kujipendekeza kuliko yote
 
Nianze kwa kusema Mkuu Mayala Akili yako ni kubwa sana haistaili kudharilishwa kwa bandiko la kijinga kama hili!... Mosi,,kushindwa UBUNGE sio swala la aibu ni swala la demokarasia ni lazima awepo mashindi na ndo maana watu wanashindana hapo Aibu inatoka wapi unless hujui maana ya aibu kitu ambacho sikiamini.. Pili kutangaza nia ya kuomba Ridhaa ya kugombea Nafasi ya Urais ,,haiwazuii wao kugombea Nafasi ya UBUNGE Iwapo chama hakita wapa Ridhaa ya kugombea Urais,rejea hitimisho la mh Msigwa alipo tangaza nia,, Tatu Upinzani sio Lege Lege kama ungelikua Lege Lege wewe na Mataga wenzio msinge uzingatia na wala usinge leta uzi huu,,( mge waacha wafu wawazike wafu wenzao) Uzi huu ni uthibitisho tosha kua mna hofu na upinzani ambao mmeutia kitanzini kwa Miaka 4,,mmetumia hila kulegeza ,,, ,.R.I.P ALPHONCE MAWAZO.,, BE STRONG Antpas Lissu,,Get WELL SOON MBOWE,,,Uwe na Amani popote ulipo Ben Sanane,, And Justice. for Mdude Nyangali...
 
Hata jiwe analijua hilo na kwa sasa kinacho fanyika ni kutimiza ule msemo wa mwiba unapo ingilia ndiyo hapo hapo unapotokea, yaani yesu alivyo ingia madarakani ndiyo maana kunamfanya kuuogopa sana upinzani
Hawa wapumbavu jeuri yao iko hapa.
Hata hao wanaowanunua wanawaaminisha kuwa mbeleko hii itawabeba hata kama wapiga kura wakiwakataa. Uchaguzi huru na wa haki CCM tunawapiga saa nne asubuhi tu.View attachment 1479892
 
Acha kudhalilisha wenzio hivyo. Kwani lazima wote wawe Wabunge? Mbona Watanzania wengi tu tunaendesha maisha nje Bunge kwa raha zetu bila vipaza sauti? Stop belittling fellow human beings like this!
 
Naona wanafunzi wa Yesu wa chato mko busy kuandika Nyaraka za kitume kwajili ya agano la pili la utawala wa Yesu wenu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…