Uchaguzi 2020 Je, kuna uwezekano kutangaza nia kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa baadhi, kunatumika kama kichaka cha kujifichia aibu ya kushindwa ubunge?.

Bila shaka na amini nimekuelewa na nadhani pia umeeleweka na jamii ya JF kuhusu kiwango chako cha kujadili mada. HONGERA SANA - keep it up[emoji111]
Jirekebishe utaeleweka kwa jamii lkn ukiendelea kutumikia utumbo mpana basi utaendelea kudhalaulika hata na wanao
 
Wee pasco ni msengee, kaniseme nipigwe ban
 
Unaandika vitu vya kijinga halafu hutaki usemwe, utasemwa tu mpaka uache ujinga wako.

Kutangaza nia ya kugombea urais ni zoezi la mwanzo kabisa, baada ya hapo patafanyika mchujo apatikane mgombea mmoja atakae peperusha bendera ya CDM, sasa hao wwngine wataenda wapi? waaiporudi kwenye majimbo yao hawatarudi kwa uoga wao lakini sio kwasababu ya kutangaza nia kugombea Urais.

Wakati mwingine wacha kukurupuka kuanzisha mada.
 
Watu wanajitoa ufahamu sana juu ya hali waliyoipitia wanasiasa wa upinzani katika miaka hii mitano.

Hata kukutana na wapiga kura wao walikuw hawaruhusiwi japo ni wawakilishi wa wananchi.

Kila siku kuwindwa kama digidigi kuna madiwani hata miji yao waliikimbia kwa kukwepa shari , walioona heri wasalimishe roho zao wakaamua kuunga juhudi

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo maana siku hizi mkazi wa ikulu mnamwita Yesu hah?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ndio inawezekana na tena huyu alie tia nia leo yawezekana anaficha aibu ya kuvunjika mguu kwa kwa tuhuma za ulevi anatutoa kwenye reli.
1. tuchukulie hapitishwi kugombea Uraisi na chama, itabidi arudi kwenye Ubunge??
Na Je haiba yake katika kuendelea kuwa Kiongozi wa Chama inakuwaje??
Au ndio anaachana na siasa Kabisa.
2.Anapitishwa na Vyama kugombea , hivyo ataepuka kinachosemwa hapa maana hawezi kugombea "two position at a time",

Lakini hatua hii itakuwa na matokeo gani kichama na kwa watia nia ya uraisi wengine ktk chama
 
Paskali this is your worst thread ever. Kama ingekuwa ni kuficha aibu, kwani pale watakaposhindwa kupata urais aibu haitokuwepo? Pia kwa nini wamwachie Tundu Lissu pekee. Huo ni mchezo mbovu was CCM ambapo fomu 1 tu ya urais imetengenezwa. Kama yanayofanywa na CCM yaani itengenezwe fomu 1 tu ya Mbowe yangefanywa na CHADEMA dah! mapovu ya wanalumumba yangetosha kujaza bahari ya Hindi!
Watu mnazeeka vibaya

Chadema mwanzo mwisho
[/Q
 
Mkuu Pascal Mayalla

Chadema kama chama kimepitia hatua nyingi hadi kuwa hapo kama kilivyo
Yapo maamuzi waliyachukua yakasaidia chama lakini pia yapo maamuzi ambayo yalikigharimu chama pia
Kwa mantiki hiyo wamejifunza mengi lakini kikubwa ni kuwa lazima sasa waanze kuonyesha demokrasia kuanzia ndani ya chama, hata kama watakua na mgombea wanao amini anafaa zaidi basi watatumia mbinu za kidemokrasia na kimkakati ili kupitishwa na sio kuzuia watu kutia nia

Uchaguzi uliopita tuliona jinsi Dr Slaa alivyokua ameandaliwa kuwa mgombea urais lakini akatokea Lowassa na gia ikabadilishwa hewani......zipo faida na hasara za maamuzi haya
Uteuzi huu wa kibabe na kunyima fursa wengine wenyesifa nadhani CDM wameona waachane nao......na huu ni mwanzo, itakwenda hadi kwenye nafasi ya mwenyekiti

Tatizo ninalo liona kwa watu wenye hoja kama yako ni mambo matatu
1 mazoea
2 Aibu
3 Magufuli

MAZOEA
Ilikua imezoeleka kwamba CDM uteuzi wa viongozi haswa mgombea urais alipatikana kutokana na msimamo wake na mambo fulani anafanya na kujenga imani anakubalika na jamii....CDM inakua inabidi mambo ya kufanya kusingizia uchanga wa chama yaachwe na demokrasia ifuate mkondo wake

AIBU
Mkuu Paschal hii hoja ni yakitoto sana, siasa za uchaguzi ni kushinda au kushindwa, Inawezekana kabisa kugombea uteuzi wa urais na ukashindwa kukakupa advantage ya kugombea ubunge lakini sio kuleta hoja ya aibu.....hii ndio inafanya vijana na wengi kuogopa kugombea kwa dhana wakishindwa ni AIBU kwao

MAGUFULI
Umejaribu kijenga hoja kwamba inakuaje mtu anataka kupambana na Magufuli kwanamna ambavyo magufuli amefanya "maajabu" nchi hii
Inawezekana JPM ni mzuri kiutendaji kuliko waliopita lakini trust me anamapungufu yake makubwa sana
Watu wanapotezwa, wanabambikiwa kesi, hakuna uhuru wa habari wala kujieleza, Bunge limekua la kihuni sana chini ya JPM, uvunjifu mkubwa wa katiba, maisha yamebana kuliko wakati wowote nk nk

Hitimisho
Nikweli wabunge wengi wa CDM hawatarudi bungeni kasababu zilizo wazi tofauti na ulizotaja wewe

Wapo watakao rudi kwa tiketi ya CCM (wamefika bei) na wapo ambao tayari walikwisha kurudi na uwaziri wakapata nk

Ukichukua tume isio huru ukijumlisha na kauli na matendo ya viongozi akiwemo JPM mwenyewe kuhusu upinzani, basi hauhitaji tochi wala sayansi ya roketi kujua CCM italazimisha ushindi wa asilimia wazitakazo wao huku wakitumia puppet opposition parties kuonyesha dunia demokrasia Tz ipo......
 
Mwandishi wa habari mpiga ramli mshirikina na ndio hulka yenu wasukuma.Usingeenda shule ungekua mchawi na unauza uchawi
 
Pasi(Wasukuma ndiyo tunavyolitamka jina Pascal) njoo ujibu hoja hizi.
 
Point less!
 
Ok Ni swali zuri. Umesema huenda pengine wanaotia Nia ya kugombea Urais katika chama Cha chadema inawezakuwa Ni kujificha aibu ya kuogopa kuumvuka kwa ushindi wa CCM katka uchaguzi ujao baada ya kuona wanaweza kuanguka kutokana na mambo mengi yaliyofanywa na Rais wa awamu ya tano Dr John Pombe Magufuli ambaye ametokana na chama Cha mapinduzi. Nijibu Kama ifuatavyo hoja yako

Sio kweli Ni kutangaza Nia ya Urais Ni kukwepa aibu ya kushindwa katika uchaguzi ujao, Bali Ni upana wa kidemokrasia ndani ya vyama vya siasa.Lkn pia upatikanaji wa Mgombea wa Urais Ni mchakato ambao lazima uchambuzi yakinifu ufanyike, na haiwezi kufanyika bila kuwapata wagombea wengi. Ili chama kiweze kupata Mgombea mzuri ambae ana mvuto lazima masikio ya went mamlaka katka chama wapate waliowengi ili kupata aliye Bora. Wataalamu wanasema if you want to get pure you must have many.
Lkn pia japo sijajua Sana kutangaza Nia Sio kuteuliwa kuwania Urais. Mtu anawrza akatangaza Nia ya kuteuliwa kuwania Urais na asiteuliwe then akarudi Tena jimboni kwenda kuomba ridhaa ya kugombea ubunge. Ndo maana mbunge wa iringa mjini Mch. Peter Msigwa(CHADEMA) alisema ametangaza Nia ya kugombea Urais ,Kama chama chake hakitamteua kugombea Basi atarudi jimboni kwenda kugombea ubunge. Na wale wapinzani wake waendelee kuomba kwamba chama kimteue kugombea uras lkn kisipomteua ataenda kupambana nao kwenye ubunge kule Iringa mjini

Kwahiyo nimalizie tu kwa kusema nafikiri Kuna kanuni ambazo vyama vya siasa hususani Chadema wameweka kwamba mtu anaweza akatangaza Nia ya Urais na mchakato ukafamyika akashndwa na akrudi Tena kugombea ubunge.
Sijui km nitakuwa nimejibu vyema Kaka Pascal Mayalla
 
?ccm kushinda kwa 99.9%..?..naona hoja yako imejengwa...kupitia Huyo mtabiri...TAIFA LA WAPIGA RAMLI!!!!!!!!!
 
Eti imetabiriwa.....daaah aisee nyie watu akili mnaziweka wapi?au kichwani yamejaaa Mavi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…