Je, kuna uwezekano wa kupata mkopo university kama ukitokea diploma kwenda degree

Je, kuna uwezekano wa kupata mkopo university kama ukitokea diploma kwenda degree

Calvin 45

Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
7
Reaction score
0
Naombeni msaada wenu wakuu.

Nimemaliza diploma na nilikuwa napenda kuendelea na elimu ya juu lakini kulingana na hali ya maisha naweza nikashidwe kujihudumia na kama mnavyo fahamu chuo kikuu ni gharama kubwa.

Naomba kufahamishwa kama naweza pata mkopo ili niweze kuendelea na elimu yangu.

Naombeni msaada wenu wa mawazo.
 
Unapata bila shida..chamsingi vigezo na masharti kuzingatiwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Na vipi kuhusu kuomba chuo na kuomba mkopo kipi kinaanza kwanza. je, unatakiwa kuomba chuo kwanza ndiyo uombe mkopo ama inakuwaje hapo wakuu. msaada weni ni muhimu sanaa
 
Na vipi kuhusu kuomba chuo na kuomba mkopo kipi kinaanza kwanza. je, unatakiwa kuomba chuo kwanza ndiyo uombe mkopo ama inakuwaje hapo wakuu. msaada weni ni muhimu sanaa
Chochote utakachoanza hakuna shida wewe apply tu.

Ila kigezo cha kwanza cha kupewa mkopo ni lazima uwe admitted na chuo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkopo unapata hata kama ungetokea foundation course kikubwa uwe umedahiliwa na Chuo.. Ila ukimbike tu Mama siku hizo anawagawia 20% Kila mtu.. 80% MTAJUA wenyewe
 
Back
Top Bottom