Wahenga walinena, 'lisemwalo lipo na kama halipo liko njiani linakuja!'
Katika hii vita Kati ya Urusi na Ukraine, Urusi ilishataadharisha mapema kuwa iwapo Mataifa ya NATO yatairuhusu Ukraine kutumia Silaha za masafa marefu kushambulia ndani ya Urusi, basi Urusi itahesabu kuwa NATO imeingilia vita hivyo.
Hii ina maana Urusi itahesabu kuwa inapigana na NATO.
Sasa pamoja na Ukraine kuruhusiwa kutumia Silaha hizo na nyongeza sasa imeruhusiwa kutumia mabomu ya kutegwa ardhini yaliyopigwa marufuku.
Urusi nae ana-test na kuweka Sawa mitambo yake ya nyuklia. Sasa Hatima yake NI nini??
Mwaka 1978 wakati Tanzania inapambana na Uganda, Mwalimu Nyerere aliagiza WaTanzania kuchimba maandaki ili kuwa tayari na sehemu za kujificha iwapo mambo yangeenda mrama.
Na wito huo uliitikiwa ipasavyo na wananchi.
Je, Kwa hili la Urusi na NATO linaloendelea Kwa sasa, Viongozi wetu wanajiandaa vipi iwapo kitawaka huko??
Katika hii vita Kati ya Urusi na Ukraine, Urusi ilishataadharisha mapema kuwa iwapo Mataifa ya NATO yatairuhusu Ukraine kutumia Silaha za masafa marefu kushambulia ndani ya Urusi, basi Urusi itahesabu kuwa NATO imeingilia vita hivyo.
Hii ina maana Urusi itahesabu kuwa inapigana na NATO.
Sasa pamoja na Ukraine kuruhusiwa kutumia Silaha hizo na nyongeza sasa imeruhusiwa kutumia mabomu ya kutegwa ardhini yaliyopigwa marufuku.
Urusi nae ana-test na kuweka Sawa mitambo yake ya nyuklia. Sasa Hatima yake NI nini??
Mwaka 1978 wakati Tanzania inapambana na Uganda, Mwalimu Nyerere aliagiza WaTanzania kuchimba maandaki ili kuwa tayari na sehemu za kujificha iwapo mambo yangeenda mrama.
Na wito huo uliitikiwa ipasavyo na wananchi.
Je, Kwa hili la Urusi na NATO linaloendelea Kwa sasa, Viongozi wetu wanajiandaa vipi iwapo kitawaka huko??