Je kuna vitu binadamu tumefichwa ila vimefunuliwa kwa wanyama ?, Jinsi asili inavyo tutahasharisha kupitia wanyama kabla hayajatokea mambo ya hatari.

Mwanadamu anao uwezo huo sema ndio hvyo tumeshajispoil na ubatili na kila aina ya uchafu wa hii dunia. Japo kuna wachache wanajaribu ku regain huu uwezo kupitia meditation. Mwanadamu usimchukulie poa kihivyo.
 
Nlirud night kali from kumwagilia moyo...nkapita toilet kuna kapaka kadogo kakawa kanatoa mlio flan hivii...nikapotezea ila kuna nafs ikawa inasema lazma kuna ktu hapa...ile narud nakutana na bonge la cobra corridoni....pombe ilikata yote lkn kiume nlimuuwa.. kwa shot moja tuu...
 
Ndo ilivyo mkuu, Binadamu tumefungwa na mengi, laiti tungekuwa tunayaona kama wanyama tungekuwa na muda mchache sana wa kuishi
Mara baada ya anguko la Mwanadamu pale bustanini kilankitu kiliharibika mkuu.

Dhambi ndio chanzo cha hayo yote. Sasa tumekosa utulivu wa kungoja na kusikiliza ile "sauti ndogo na laini inayosema nasi" sasa tunawaza mambo mengi so haturuhusu ile "pumzi ya uhai iseme nasi kuhusu maisha yetu"

Nature inasema nasi ila pia tunaipuuzia na hatutilii maanani tena ila wanyama wao wanatii.
 
Mwanadamu anao uwezo huo sema ndio hvyo tumeshajispoil na ubatili na kila aina ya uchafu wa hii dunia. Japo kuna wachache wanajaribu ku regain huu uwezo kupitia meditation. Mwanadamu usimchukulie poa kihivyo.
Kweli kabisa
Binadamu ana uwezo mkubwa pia ila akitaka kusema anaogopa watasema mchawi au uchimvi
Kuna watu huwa wanajua kifo cha mtu ila huwa wanasema baadae sana kuwa aliambiwa
Sijui huwa wanaambiwa na nani? πŸ˜„
 
Wanyamapori wanajua sana dawa za mitishamba
 
Binadamu wapo busy sana,hawana hata muda wa kujisikiliza kupitia inner voice ambayo hua ina majibu mengi tu,

Jipe muda,listen to your heart,kuna muda,mwili huhitaji kuongea na muhusika ila hua tunapuuza.
 
Ni kweli nguru we na mbwa hutumika kunusa madawa ya kulevya

Pale SUA Kuna panya hutumika kunususa land mine

Kwenye vyuo vikuu tafiti zifanyike wanyama watumike kutabirinmajanga na na mabadiliko ya tabia nchi
 
Ni kweli nguru we na mbwa hutumika kunusa madawa ya kulevya

Pale SUA Kuna panya hutumika kunususa land mine

Kwenye vyuo vikuu tafiti zifanyike wanyama watumike kutabirinmajanga na na mabadiliko ya tabia nchi
Sio kwa hawa wanyama wa sasa. Hata kakakuona wa zama za leo nahisi ameshageuka na kuwa dadakuona. Hawezi hata kutabiri ukweli wa mamboπŸ˜ƒ
 
Naamini wanadamu tunao uwezo mkubwa kuzidi hapo ila hatutilii maanani mazingira yetu na hasa nguvu ya kiroho tuliyonayo
au labda Tsunami au volcano ikiamua kuja kwaajili ya binadamu, wanyama wasiohusika wanajikuta wameondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…