Je, kuna wakati Utawala wa Kidikteta unakuwa unafaa kuliko aina yoyote ile ya Utawala?

Je, kuna wakati Utawala wa Kidikteta unakuwa unafaa kuliko aina yoyote ile ya Utawala?

Sisi binadamu baadhi yetu, sometimes tuko kama wanyama mfano wa mnyama punda, bila mjeledi, haendi!.

Hivyo kuna baadhi ya mambo makubwa ambayo JPM ameyafanya, bila kutumia udikiteta, kamwe yasingefanyika!. Marais karibu wote walioleta Mapinduzi makubwa ya kiuchumi kwa nchi zao, walitumia udikiteta, mfano mzuri ni kama Seretse Khama wa Botswana, Tito wa Yugoslavia, Lee Kuan Yew wa Singapore, Mustafa Kemal wa Uturuki and the like, hawa wote walitawala nchi zao kwa mkono wa chuma na kuleta mapinduzi makubwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi kwa nchi zao, kwa kuzibadili toka kwenye umasikini, hadi kugeuka kuwa ni nchi tajiri, hivyo Tanzania pia sio nchi masikini, tuko kwenye umasikini huu kwa sababu tulikosa mtu imara wa kutuongoza, hivyo hapa Magufuli alipofikisha, tusingefika bila udikiteta, na hata Samia, lazima afike mahali awe dikiteta ili Tanzania tutoke kwenye umasikini huu, tukimchekea ngedere, tutayavuna mabua!.
P
Look, wote uliowawekea mfano kama madikteta, wanagoma Kutoka madarakani, why?
Ndio pengi wanafanya vzur katika mataifa Yao, ila wajilimbikizia ukwasi na mamlaka makubwa, na watoto wao ndo wanaandaliwa kuwa viongoji kuendeleza shamba la bibi, fukara hawawezi kuwa na uchumi uliosima, wanabaki kufurahia huduma za uma bure,
Embu Angalia wanaopenda utawala wa Ivo, they don't have future of their young generation, they believe that even their children will be still depending on free gvmt services.
No, no Nakataa udikteta kabisa.
 
Sisi binadamu baadhi yetu, sometimes tuko kama wanyama mfano wa mnyama punda, bila mjeledi, haendi!.

Hivyo kuna baadhi ya mambo makubwa ambayo JPM ameyafanya, bila kutumia udikiteta, kamwe yasingefanyika!. Marais karibu wote walioleta Mapinduzi makubwa ya kiuchumi kwa nchi zao, walitumia udikiteta, mfano mzuri ni kama Seretse Khama wa Botswana, Tito wa Yugoslavia, Lee Kuan Yew wa Singapore, Mustafa Kemal wa Uturuki and the like, hawa wote walitawala nchi zao kwa mkono wa chuma na kuleta mapinduzi makubwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi kwa nchi zao, kwa kuzibadili toka kwenye umasikini, hadi kugeuka kuwa ni nchi tajiri, hivyo Tanzania pia sio nchi masikini, tuko kwenye umasikini huu kwa sababu tulikosa mtu imara wa kutuongoza, hivyo hapa Magufuli alipofikisha, tusingefika bila udikiteta, na hata Samia, lazima afike mahali awe dikiteta ili Tanzania tutoke kwenye umasikini huu, tukimchekea ngedere, tutayavuna mabua!.
P
You can not say Magu led purely dictatorial, nor you can not say current leaders lead purely democratical. Kinachotazamwa ni kipi kimemzidi au imebalance, ndo utatoa comment Yako.
Na izo comments on certain kind of leadership haziwezi kufanana Kwa wote wanaotoa comment.
Mim nikisema MAGU was a dictator one Kwa sababisha, alitumia jeshi la polisi na siraha za kivita kunyamazisha wapinzani na walioikosoa serikari yake, ntakua sahihi kabisa mkuu
 
A leader with vision must know how to apply three types of leadership, 1 lesser faire, 2 dictatorship, and 3 Democratic. Dictate when is necessary!
 
Back
Top Bottom