Je, Kuna Wataalamu wa Wifi Hacking Humu? Wadau, Toeni Ujuzi!

WiFi zinaguswa bro hapa mtakataa mkijiaminisha hazifikiwi ila zinapigwa fresh. Mbona mifumo ya authentication ipo ila mifumo inadukuliwa? Baadhi ya mifumo ya Blockchain inapigwa bro unadhani WiFi ndio nini isipigwe
Mimi nilikuwa salesman kitambo,nimewashawishi wenye bar wengi na maduka makubwa waweke wifi ,na wamekubali kwa hiyo Mimi ni mteja wa kudumu,yangu Pepsi tuu baridii!Naserebuka nazo wifi kama zangu.Kutwa jioni nipo YouTube!
 
Katika ulimwengu wa hacking,hakuna kisicho wezekana.

Kudukua WiFi ,point kubwa ni kupata password yake na kujiunga. Waweza kumdukua mmiliki mwenyewe au kifaa (hii ngumu kama huna uzoefu)
 
Ni ngumu sana tofauti na unavyo fikiria
Sawa bro I'm on the field watu ni wahuni kinoko watu wapo very skilled bro kwahiyo what your thinking isn't what is happening hacking zinafanyika sana ndio maana hata Leo hii makampuni makubwa yanatoa ofa kwa watu wanaoweza kudukua mifumo yao ili wazibe hiyo mianya
 
Katika ulimwengu wa hacking,hakuna kisicho wezekana.

Kudukua WiFi ,point kubwa ni kupata password yake na kujiunga. Waweza kumdukua mmiliki mwenyewe au kifaa (hii ngumu kama huna uzoefu)
Sasa jamaa anaona ni impossible
 
Kama TV Yako tu ya mchina inapita na Hotspot Yako na kukurekodi, itashindikana vipi, btw sio jambo la muhimu, nunua bando.
N:B usigeuzie TV Yako kitandani, Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…