Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
- Thread starter
- #21
Inafikirisha sanaMi nadhani kuna watu tu wana bahati nzuri na wengine wana bahati mbaya haijalishi ni wema au wabaya kiasi gani. Sasa hiyo bahati nzuri au mbaya unaipataje ndio sijui.
Ingekuwa ni uchapa kazi basi wabeba zege wangekuwa na maisha mazuri sana maana ni wachapa kazi haswaa. Sio kwamba watu ni wavivu, wana bidii sana ila hawana bahati, chochote wanachojaribu hakiendi. Wameshachanganya maombi mpaka ya kufunga kavu lakini hola. Kuna watu wanalima maheka kibao kuvuna gunia moja. Wakati wengine wanatokea hapo hapo. Bado naendelea kuamini kuwa ni issue ya BAHATI, NYOTA, NEEMA.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app