Je, kuna watu ambao wako systematically prone kwa tabu na mateso na ni vigumu mikosi yao kuondolewa kirahisi kama wengine?

Inafikirisha sana

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Ninamwamini Mungu kwa 100% ila nasema matatizo yote yanapaswa kutatuliwa kwa wakati wake, wakati ukishapita unaweza kufikiri hakuna Mungu! Ila kunakuwepo na msaada au neema ya tumaini na ustahimilivu ambapo hata kama hutapata exactly uombacho lakini unapewa neema ya ustahimilivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…