Je, kuna Waziri wa Fedha Tanzania amewahi kukopa fedha nyingi kuliko Mwigulu Nchemba?

Je, kuna Waziri wa Fedha Tanzania amewahi kukopa fedha nyingi kuliko Mwigulu Nchemba?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kwa wataalam wa bajeti na masuala ya uchumi, ni waziri gani wa fedha amewahi kukopa fedha nyingi kwa muda wa miaka mitatu ya uongozi wake kama Mwigulu Nchemba?

Kukopa siyo tatizo, je mikopo hii mingi ya Mwigulu inafanya kazi tarajiwa? Tutaweza kuirejesha kwa wakati uliowekwa?

Baada ya Mwigulu kukopa ni nani anafaha kuwa Waziri wa fedha ambaye atasaidia nchi kulipa madeni haya?
 
Mhehe alikuwa anaitwa Dr William Mgimwa
Mgimwa alikua ni PhD ya ukweli. Sio hizi nyingine zinashindwa kusimamia miradi midogo Kama mabasi ya mwendokasi wakati Kuna darasa la Saba kibao kule Lushoto wanasimamia mabasi unakuta kila mwaka ananunua jingine na Yuko kwenye ushindani.
Mwendokasi Hana mshindani Wala mpinzani lkn PhD Ina kosa idea au clue kabisa.
Maustaadh kule Tanga mjini wameishia madrasatul lkn kila mwaka wanafyatua mabasi mapya.
 
Mgimwa alikua ni PhD ya ukweli. Sio hizi nyingine zinashindwa kusimamia miradi midogo Kama mabasi ya mwendokasi wakati Kuna darasa la Saba kibao kule Lushoto wanasimamia mabasi unakuta kila mwaka ananunua jingine na Yuko kwenye ushindani.
Mwendokasi Hana mshindani Wala mpinzani lkn PhD Ina kosa idea au clue kabisa.
Maustaadh kule Tanga mjini wameishia madrasatul lkn kila mwaka wanafyatua mabasi mapya.
PhD za mchongo zimejaa wizi tupu kuanzia upatikanaji wake
 
Mgimwa alikua ni PhD ya ukweli. Sio hizi nyingine zinashindwa kusimamia miradi midogo Kama mabasi ya mwendokasi wakati Kuna darasa la Saba kibao kule Lushoto wanasimamia mabasi unakuta kila mwaka ananunua jingine na Yuko kwenye ushindani.
Mwendokasi Hana mshindani Wala mpinzani lkn PhD Ina kosa idea au clue kabisa.
Maustaadh kule Tanga mjini wameishia madrasatul lkn kila mwaka wanafyatua mabasi mapya.
Sasa huyu mwenye PhD mwendokasi hajawahi hata kufanya biashara ya duka 😄

Ova
 
Huyu mwamba atakuwa na mipesa mingi sana sana

Ova
Wameiba mpaka wamevimbiwa.
Kuna mmoja kasema wapandishe Kodi kwenye simu za vitochi ili kila mtanzania anunue simu janja.
Nilibaki mdomo wazi, kwani Hawa wadada wanaodanga wanapenda simu za batani?
Au wasaidizi wa mama ntilie au wapiga debe au vijana wa ng'ombe ??
 
Back
Top Bottom