Hakuna alipo kubalika ukiacha wale waliofanya hivyo kwa kujikomba na uzandikiUtawala Wa JPM haukuwa rafiki kwa jamii nzima wakiwemo Wafanyabiashara wakubwa. Kwa hiyo si wapinzani tu wanaousema utawala huo, wapo Wafanyabiashara, wafanyakazi Wa umma, CCM asilia n.k n.k
Wewe jamaa umetisha sana kwa kuwa na maktaba ya kutosha.Magufuli ndiye Rais fisadi Papa bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi wake.
Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.
Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.
View attachment 2058758View attachment 2058759View attachment 2058762View attachment 2058764
Amechafuliwaje ? Yaani kutaja mapungufu yake kikazi ndiyo kumchafua?Sasa tukimchafua hayati ndio na sisi tutapaa kisiasa?
Nakumbuka siku huyo jamaa anafukuzwa cdm sipati picha leo hii bado hajapata uteuzi ndani ya ccmWewe ni mataga, msiyempanda kaja.
Yaani watu wote wakiwa na akili duni za kufikiri na kisha kuamua kama zako, maisha yasingekuwa na maana kabisa...Kama kuna busara ya kisiasa tunakatakiwa kuwa nayo wapinzani ni hiki kipindi ambacho wapinzani wanapayuka hovyo kumchafua hayati JPM. JPM is gone na kila mtanzania anafahamu juu ya utawala wake. Kama alifanya mema basi atahukiwa na Mungu na wananchi wanayo nafasi ya kujua mabaya na mazuri yake.
Sasa sisi kama wapinzani tunatakiwa kupambana na hayati JPM au Ccm hii ya mama Samia.
Je tukikomaa kumchafua hayati JPM ndio tutafanikiwa kisiasa?
Nawakilisha mimi Kama
Sasa tukimchafua hayati ndio na sisi tutapaa kisiasa?
Usirudie tena kuniuliza hili swali!! kwakuwa Jiwe yeye alipozaliwa lilikuwa ni giza totorooo!!! utosini!!...alikua mpaka utu uzimani kwa bahati tu !...lkn wazee wa koo zao walijua yanayo jilri alipo kufa hawakulia!...kawaid mie nimetabiriwa kuwa Rais punde tu ntakuwa!Ubongo wako uko wazi angalia vizuri.
Kwa hiyo Magufuli alikuwa ni tajiri au maskini
alikuwa ni mtoto wa aina gani kati ya hao wanaozaliwa na neema au lah!?
Mmawia sorry hii reply imeingia sipo hii inajajibu kwa Kamanda AsiyechokaAmechafuliwaje ? Yaani kutaja mapungufu yake kikazi nd
Sasa tukimchafua hayati ndio na
Anavuna alichopanda! Mazuri aliiyafanya ulikua ni wajibu wake hatuna haja ya kuyakumbuka, tukumbuka mabaya yake tu.Kama kuna busara ya kisiasa tunakatakiwa kuwa nayo wapinzani ni hiki kipindi ambacho wapinzani wanapayuka hovyo kumchafua hayati JPM. JPM is gone na kila mtanzania anafahamu juu ya utawala wake. Kama alifanya mema basi atahukiwa na Mungu na wananchi wanayo nafasi ya kujua mabaya na mazuri yake.
Sasa sisi kama wapinzani tunatakiwa kupambana na hayati JPM au Ccm hii ya mama Samia.
Je tukikomaa kumchafua hayati JPM ndio tutafanikiwa kisiasa?
Nawakilisha mimi Kamanda Asiyechoka.
Utawala wa Magufuli haukuwa rafiki kwa waovuUtawala Wa JPM haukuwa rafiki kwa jamii nzima wakiwemo Wafanyabiashara wakubwa. Kwa hiyo si wapinzani tu wanaousema utawala huo, wapo Wafanyabiashara, wafanyakazi Wa umma, CCM asilia n.k n.k
Nadhani ungekuwa unamjua Mmawia vizuri usinge andika haya yoote.Mmawia sorry na reply imeingia sipo
&____________&&&________
Hakuna anaemchafua ila kuna habari za Magu hupendi kusikia unataka asifiwe tu.
Tunajua hupendi watu waongelee chato Airport, n.k kama yeye alikuwa smart kichwani sukari tu si ingeshuka bei sio kupanda, halafu anasema aliikuta elfu 5 yeye pres. Wa wanyonge ndio kaishusha mpaka 2.5
We unadhani Hitler hakujenga miundo mbinu, au Stalin au Mobutu. Ila katika wote hao sijaona mahali watu wanataja jina la Rais na kulipambanisha na Mungu kama ilivyokuwa kwa Magu.
Dah !!! Magu alipitiliza aisee, au umesahau yule kiongozi aliyesema kwa sauti kubwa tu kwamba Mungu anapaswa kumshukuru Magu kwa utendaji wake !! Na Magu ka kaa kimya tu, mbona Mwinyi alipiga marufuku watu kumwita Mtukufu.
Jamaa yako atasemwa sana tena kwa mabaya ndio maana tunakuwa na historia. Historia yako unaijenga mwenyewe, sasa wewe unataka historia ifutike kivipi sasa, wakati chato airport ipo, wakati ni kweli alituambia anatuma boeing kufuata dawa ya covid na jamaa yetu prof akabwia fasta fasta, lakini boeing iliporudi jiiiiiiii
Anavibweka vingi yule mzee pole sana. Huwezi kupiga stop historia.
Nadhani ungekuwa unamjua Mmawia vizuri usinge andika haya yooten.
Jaribu kumfuatilia vizuri Mmawia
Nimekusoma kamanda.Soma kuanzia mstari wa kwanza mmawia atakuwa ameona hapo.
Hata hii kuongelewa sana iwe kijiweni au jf ni historia inaendelea sasa mwingine anataja ipigwe stop.
Apumzike kwa Amani ShujaaKama kuna busara ya kisiasa tunakatakiwa kuwa nayo wapinzani ni hiki kipindi ambacho wapinzani wanapayuka hovyo kumchafua hayati JPM. JPM is gone na kila mtanzania anafahamu juu ya utawala wake. Kama alifanya mema basi atahukiwa na Mungu na wananchi wanayo nafasi ya kujua mabaya na mazuri yake.
Sasa sisi kama wapinzani tunatakiwa kupambana na hayati JPM au Ccm hii ya mama Samia.
Je tukikomaa kumchafua hayati JPM ndio tutafanikiwa kisiasa?
Nawakilisha mimi Kamanda Asiyechoka.
Kafie Chato huko na kiherehere chako..Kama kuna busara ya kisiasa tunakatakiwa kuwa nayo wapinzani ni hiki kipindi ambacho wapinzani wanapayuka hovyo kumchafua hayati JPM. JPM is gone na kila mtanzania anafahamu juu ya utawala wake. Kama alifanya mema basi atahukiwa na Mungu na wananchi wanayo nafasi ya kujua mabaya na mazuri yake.
Sasa sisi kama wapinzani tunatakiwa kupambana na hayati JPM au Ccm hii ya mama Samia.
Je tukikomaa kumchafua hayati JPM ndio tutafanikiwa kisiasa?
Nawakilisha mimi Kamanda Asiyechoka.
hahaha hat nymba km hamnaUsirudie tena kuniuliza hili swali!! kwakuwa Jiwe yeye alipozaliwa lilikuwa ni giza totorooo!!! utosini!!...alikua mpaka utu uzimani kwa bahati tu !...lkn wazee wa koo zao walijua yanayo jilri alipo kufa hawakulia!...kawaid mie nimetabiriwa kuwa Rais punde tu ntakuwa!
Nikusaidie tu!! ubongo ukibaki wazi nusu sekunde huna maisha! hao walio kufundisha ubongo unakaa wazi walikuingiza chaka stuka!! ndo matokeo ya shule za kata haya na ni dhahiri!!
Mtu muovu anapaswa kusimangwa akiwa hai au amekufa.Kama kuna busara ya kisiasa tunakatakiwa kuwa nayo wapinzani ni hiki kipindi ambacho wapinzani wanapayuka hovyo kumchafua hayati JPM. JPM is gone na kila mtanzania anafahamu juu ya utawala wake. Kama alifanya mema basi atahukiwa na Mungu na wananchi wanayo nafasi ya kujua mabaya na mazuri yake.
Sasa sisi kama wapinzani tunatakiwa kupambana na hayati JPM au Ccm hii ya mama Samia.
Je tukikomaa kumchafua hayati JPM ndio tutafanikiwa kisiasa?
Nawakilisha mimi Kamanda Asiyechoka.
Mwendazake alisisitiza kuwa tofauti ya vyama ni ishu. Asiye nyinyiem hafai kuwepoSisi sote ni ndugu, tofauti ya vyama sio ishu.