Je, kupanda kwa bei ya vyakula kumezaa tabaka la wakulima na wananchi?

Je, kupanda kwa bei ya vyakula kumezaa tabaka la wakulima na wananchi?

Nadhani sasa tunaelekea katika njia sahihi kabisa ispokuwa tu, kuna mipaka fulani fulani ambayo ni lazima iwe na rungu lake, alerts zake mbalimbali za kuijulisha mfano, ni lazima tufahamu nje na akiba ya taifa, je ni tani ngapi zinatakiwa ziwepo katika mzunguko ndani ya nchi,
Kwenye akiba tuna ngapi?, zinazozunguka ndani ya nchi zinatakiwa ziwe tani ngapi, na za kutoka nje kwa masoko ziwe tani ngapi, we must have a limitations for our citizens.
Serikali ndiyo inatakiwa kuhakikisha inanunua na kuhifadhi chakula cha kutosha. China walikuwa kama sisi. Baadaye wakaja na sera ya household responsibility. Yenyewe inanunua mazao ambayo inajua yatatosha kukabiliana na njaa. mazao yote anayobakiwa nayo mkulima yanakuwa ni jukumu lake kuyatumia na kuuza atakako na atakavyo.
 
Kupanda kwa bei ya chakula kunawanufaisha madalali na walanguzi wa mazao wanaojiita wafanyabiashara, na siyo mkulima.........maana wakulima walishauza mazao kitambo sana kwa kupewa bei ndogo, kubana mizani, na kwa njia za lumbesa na kangomba, huyu bashe sijui nani kamdanganya kwamba kuna mkulima ananufaika na hizi bei....​
 
Back
Top Bottom