Je, kupanda kwa bei ya vyakula kumezaa tabaka la wakulima na wananchi?

Serikali ndiyo inatakiwa kuhakikisha inanunua na kuhifadhi chakula cha kutosha. China walikuwa kama sisi. Baadaye wakaja na sera ya household responsibility. Yenyewe inanunua mazao ambayo inajua yatatosha kukabiliana na njaa. mazao yote anayobakiwa nayo mkulima yanakuwa ni jukumu lake kuyatumia na kuuza atakako na atakavyo.
 
Kupanda kwa bei ya chakula kunawanufaisha madalali na walanguzi wa mazao wanaojiita wafanyabiashara, na siyo mkulima.........maana wakulima walishauza mazao kitambo sana kwa kupewa bei ndogo, kubana mizani, na kwa njia za lumbesa na kangomba, huyu bashe sijui nani kamdanganya kwamba kuna mkulima ananufaika na hizi bei....​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…