GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Mtu katoka Moshi sasa anaelekea Bagamoyo kwa 'Babu' kuweka mambo sawa kwani kila 'akichungulia' kama 'walivyochungulia' Yanga SC juzi anakuta anaenda 'Kuliwa' Kichwa mazima mazima.Mzaha sio mzaha...
Hakika,moshi mweupe unaanza kuonekana....Abiria chunga mzigo wako.
Hivi waganga wa kienyeji huwa wanasaidia nini kwenye mambo kama hayo?..tuelimishane kidogo..
Wanatumia nguvu....Kuna mmoja alikuwa Clouds asubuhi anajisafisha, pressure imeshaanza kuwapanda.
Yupi huyo Mkuu??Kuna mmoja alikuwa Clouds asubuhi anajisafisha, pressure imeshaanza kuwapanda.
Sambaya/7bayaYupi huyo Mkuu??
Shukrani Mkuu.Sambaya/7baya
Anaitafuta Bagamoyo na Segerea sasa.Kuna mmoja alikuwa Clouds asubuhi anajisafisha, pressure imeshaanza kuwapanda.
Ameshajua anaendwa Kuchinjwa huyo.kuna mmoja ameshaonekana Clouds Tv anajaribu kum-seduce Mamalai.