Je, kutumia sex toys kujichua ni cheating kwa mpenzio?

Je, kutumia sex toys kujichua ni cheating kwa mpenzio?

Kutumia sex toys, kupiga punyeto, kutazama porn ni mambo binafsi ya kufanya ukiwa peke yako sawa tu na kunya, nani hajui kuwa watu wanakunya

Kila mtu duniani anakunya ila is non of our business, ndio sawa na sex toys mtu kama anatumia hiyo ni ishu yake binafsi
 
Huu uzi bila picha ni sawa na makande kuwekwa mayonnaise
 
Wanawake ndio mnasababisha wanaume wanajichua. Maana hizi tabia hazikuwapo miaka ya nyuma. Msisimgizie utatandawazi maana kama ni pornography hata miaka ya nyuma mikanda,magazine na CD ngono zilikuwapo ila utelezi haukuwa unauzwa kama maika ya sasa.

Miaka ya 1990's unakutana na binti umemuelewa ukibanana nae kichochoroni tu wadau wakikuona then utatembezwa
Aliyekutenda inabidi ukamalizane nae. Kakufanya uko na chuki kuu kuhusu wanawake kiasi kwamba kila tatizo lako unaona wao ndio wasababishi.
 
Issue ya usaliti inategemea Nani kamkuta mwenzake... Kwa mfano;kama mwenza wako alikuwa na tabia ya kujichua kabla ya mahusiano yenu, basi jua yeye kweli ameisaliti hiyo michuo kwako kwa maana hiyo wewe ndio mchepuko...
 
Kutumia sex toys, kupiga punyeto, kutazama porn ni mambo binafsi ya kufanya ukiwa peke yako sawa tu na kunya, nani hajui kuwa watu wanakunya

Kila mtu duniani anakunya ila is non of our business, ndio sawa na sex toys mtu kama anatumia hiyo ni ishu yake binafsi
Ujumbe umekaa kitaribani
 
Back
Top Bottom