Kingunge hakuwa na dini. Nani alikwambia uaminifu unahusiana na dini? Wezi wote viongozi Wana dini. Unaapa na katiba tuYes,utaapishwa nanini kwasababu wanahitaji uaminifu wako
Hao wenye dini ni waaminifu?Yes,utaapishwa nanini kwasababu wanahitaji uaminifu wako
Haijalishi ila waliapa Kwa vitabu vyao vitakatifu , so wanadeni Kwa Mungu na nishida zao wenyewe sio za wananchiHao wenye dini ni waaminifu?
Licha ya kuwa haitajwi Hii ni nchiSWALI:
Ningependa kuuliza swali hili swali kwa wanachama wote wa hapa JF.
Je, suala mtu kuwa na dini huwa pia ni kigezo kinacho tumika kwa mtu kupewa dhamana ya kuongoza katika hili taifa?
Mfano wa hizo nafasi za uongozi ni Urais, Umakamu wa Rais, Uwaziri, Uspika, Unaibu waziri n.k
Karibuni kwa majawabu yenu member wote wa JF.
Sawa ila Sio kigezoo chauaminifu katika kazi Yako husikaKatiba si ipo ?
Kwa maana ukiapa na kitabu chako kitakatifu ushajiweka kitanzi nandio uaminifu tosha kwao nandio system iliyowekwaKwa nini ?
Hapana maana hiyo sio takatifu hapana hiyo nikatiba tuKwani uki apa kwa katiba hauji wekei kitanzi kutokana na sheria za nchi zinavyo sema kupitia katiba hiyo hiyo .