Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Sio lazima kuwa dini maana nchi yetu sio ya kidini na tushawahi kuwa na viongozi wasiokua na dini mfano kingunge. Ila viongozi wengi wanajifungamanisha tu dini wakijua population kubwa ni waumini wa dini na bado Afrika tunawachakulia atheists kama watu wabaya au mashetani fulani hiviSWALI:
Ningependa kuuliza swali hili swali kwa wanachama wote wa hapa JF.
Je, suala mtu kuwa na dini huwa pia ni kigezo kinacho tumika kwa mtu kupewa dhamana ya kuongoza katika hili taifa?
Mfano wa hizo nafasi za uongozi ni Urais, Umakamu wa Rais, Uwaziri, Uspika, Unaibu waziri n.k
Karibuni kwa majawabu yenu member wote wa JF.
Sawa mkuu nime kuelewa.Sio lazima kuwa dini maana nchi yetu sio ya kidini na tushawahi kuwa na viongozi wasiokua na dini mfano kingunge. Ila viongozi wengi wanajifungamanisha tu dini wakijua population kubwa ni waumini wa dini na bado Afrika tunawachakulia atheists kama watu wabaya au mashetani fulani hivi
Kuwa na dini sio miongoni mwa vigezo muhimu vya kuaminika kuwa mojawapo wa viongozi wakuu wa mihimili ya nchi yetu hasa Serikali Kuu na BungeSWALI:
Ningependa kuuliza swali hili swali kwa wanachama wote wa hapa JF.
Je, suala mtu kuwa na dini huwa pia ni kigezo kinacho tumika kwa mtu kupewa dhamana ya kuongoza katika hili taifa?
Mfano wa hizo nafasi za uongozi ni Urais, Umakamu wa Rais, Uwaziri, Uspika, Unaibu waziri n.k
Karibuni kwa majawabu yenu member wote wa JF.
Mfano wako haukidhi kutengeneza swali unalouliza, jipange upya.SWALI:
Ningependa kuuliza swali hili swali kwa wanachama wote wa hapa JF.
Je, suala mtu kuwa na dini huwa pia ni kigezo kinacho tumika kwa mtu kupewa dhamana ya kuongoza katika hili taifa?
Mfano wa hizo nafasi za uongozi ni Urais, Umakamu wa Rais, Uwaziri, Uspika, Unaibu waziri n.k
Karibuni kwa majawabu yenu member wote wa JF.
SawaKuwa na dini sio miongoni mwa vigezo muhimu vya kuaminika kuwa mojawapo wa viongozi wakuu wa mihimili ya nchi yetu hasa Serikali Kuu na Bunge
Hii inatokana na sababu kuu ya kwamba katiba ya Tanzania inatambua kuwa mfumo wa utawala wa nchi yetu ni wa kisekula, yaani "secular state" ama usiofungamana na dini yoyote ile.
Viongozi wengi waliopo ndani ya mfumo huu wana imani zao binafsi za kidini, lakini hili si kigezo chenye nguvu kuwa wale wasiokuwa na dini hawawezi kufikiriwa endapo wataamua kugombea nafasi za uongozi wa juu wa nchi yetu. Ni takwa la kikatiba kuwa mtu yeyote mwenye sifa, na sifa ya kidini haitwaji kuwa ni sehemu ya sifa husika.
Ha ha ha ha ha, Birmingham.Ni makosa makubwa Sana KWA wanasiasa kuapa kwa vitabu vya dini inafaa waape kwa katiba.
Maana yote wanayoyaapa hawana hata moja wanalotekeleza zaidi ya kuongopea wananchi.
Pana mmoja aliwadanganya watu atawapeleka Ulaya
Sasa kwani kila anayeapa anamaanisha?Yes, utaapishwa nanini kwasababu wanahitaji uaminifu wako
Si nasiki Kingunge hakuwa na dini au? Na mboma alikuwa kiongoziSWALI:
Ningependa kuuliza swali hili swali kwa wanachama wote wa hapa JF.
Je, suala mtu kuwa na dini huwa pia ni kigezo kinachotumika kwa mtu kupewa dhamana ya kuongoza katika hili taifa?
Mfano wa hizo nafasi za uongozi ni Urais, Umakamu wa Rais, Uwaziri, Uspika, Unaibu waziri n.k
Karibuni kwa majawabu yenu member wote wa JF.
Kumbe? Nilisikiaga hakuwa muamini wa dini za wajaAlizikwa kikristo.