Je, kuwa na gari ni kivutio kwa wadada katika mahusiano?

Hapana yani moyoni unapenda ur supee dear akimiliki gari... Which i am... Ingawa siyo ur thing kabisa kushobokea magari...
Yes ofcourse
I like like like like
Mi naendeshwa tu khakhaakhaa raha sana
Nikiwa nawewe super Dear huwa nanenep si Mchezo
 
Jamani msifanye mchezo na Gari ndugu zangu. Mzungu mwenyewe kwao ndio wanatengeneza, lakini akiona gari lazima ababaike. Zungusha Porsche , Lamborghini , Ferrari , utaona tuu watoto wa kizungu wanavyobabaika. Gari nuksi jamani ,tukatae tukabali hila ndio hali halisi ukiwa na Gari itakuwa tayari ushajielezea machoni pa Wadada wewe ni mtu wa vipi.
 
Yes ofcourse
I like like like like
Mi naendeshwa tu khakhaakhaa raha sana
Nikiwa nawewe super Dear huwa nanenep si Mchezo
My queen lazima nikuendeshe... U just seat n relax... Let me take care of u..
 
Thanks super Dear
I'm so lucky kwakweli
I am lucky to have you... Umenisumbua sana kimya kimya... Kila navyokupanda unachomoa... Na battle nilikuwa naliendesha kimya kimya.. Jeshi la mtu mmoja...
 
Gar siku hz imekuwa fimbo mpaka wake za watu wanabebwa Kisa gar halafu hawajui kutofautisha STK wala gar za binafsi we paki tu li STK lako unabebaa
 
I am lucky to have you... Umenisumbua sana kimya kimya... Kila navyokupanda unachomoa... Na battle nilikuwa naliendesha kimya kimya.. Jeshi la mtu mmoja...
Finally ushanikamata
Ushaniteka
Umenifungia kabisa hata kutoka siweziii
Lol Wee mkareeeeeeeee
 
Finally ushanikamata
Ushaniteka
Umenifungia kabisa hata kutoka siweziii
Lol Wee mkareeeeeeeee
Umenisumbua sana... Nimekulia sana timing... Nikimuweka kushoto hukai kulia hukai... Finally nikakubana kunako.. Ujanja ukakuisha..

Full mibusu hugs..
 
Umenisumbua sana... Nimekulia sana timing... Nikimuweka kushoto hukai kulia hukai... Finally nikakubana kunako.. Ujanja ukakuisha..

Full mibusu hugs..
Hahahaahhahahaahahahahaha hatariiiiiiiiiiiiii
Ikafika mahali magari hayapiti ukashukaa ukakanyaga kwa miguu kunisakaa ukafika mbele matopeeee panatelezaaaa ukaamua tu kupaaaa ukanidaka huko huko juu juu
 
Hahahaahhahahaahahahahaha hatariiiiiiiiiiiiii
Ikafika mahali magari hayapiti ukashukaa ukakanyaga kwa miguu kunisakaa ukafika mbele matopeeee panatelezaaaa ukaamua tu kupaaaa ukanidaka huko huko juu juu
Imagine... All that struggle za kimya kimya... Nakufikia unaanza "jamani Smart911 we vipi lakini" nikaweka u gentleman pembeni... Got close to u.. Hold ur hand hutaki... Nikakukumbatia ukatulia... Kukupa kiss umetulia... Mara ghafla unatoa ushirikiano... Nikasema yeeeesssss....
 

Hahahaahhahahaahahahahaha
Wacha unisogeze ukutani
You gave me a very hard kiss
Kiss to the point nikaishiwa pozi kabisaa
Lol weee mbayaaaaaaaaaaaaaaaa wewe super Dear kwenye 18 hurembiiiii
 
Hahahaahhahahaahahahahaha
Wacha unisogeze ukutani
You gave me a very hard kiss
Kiss to the point nikaishiwa pozi kabisaa
Lol weee mbayaaaaaaaaaaaaaaaa wewe super Dear kwenye 18 hurembiiiii
Hahaha... Sana... Very hard and deep kiss... Nakuachia unauliza "Unaondoka Smart911"... Ukiniangalia kwa huruma n vimacho vyako...


Kilichofuata hapo...

# Wacha nifunge domo langu #
 
Kumiliki gari ni identity, pia ni definition ya mafanikio ya kijana wa kiume kibongo bongo, its sort of a speciality good other than convenient kwa Tanzania.

Mtoto wa kike hasa waliokulia katika maisha duni ndio wahanga zaidi. Akikuona una gari regardless ni yako au sio, huwa anahisi unapesa (perception) na yupo katika mikono salama, huona kama ni nafasi ya pekee sana kuweza kuwatambia mashoga zake maana wote akili zao huwaza hivyo hivyo kwamba mwenzao anafaidi hasa akifuatwa na gari mf: shule au chuo.

Kwa hali hiyo mtoto wa kike hujikuta analegeza masharti tu kwa mwenye gari na kila utalosema utaambiwa hewala. Yupo radhi hata a cancel ratiba zake ili mzurure wote na hawezi kukukataa hata awe mgumu vipi.Chukulia mfano wale waliokukataa kabla ya gari walivyoanza shobo baada ya kumiliki ndinga.Tukatae tukubali Mjapan mamlaka bongo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…