Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
HahahhhhhMkuu picha naomba ili niangalie kwa usahihi hiyo chura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahhhhhMkuu picha naomba ili niangalie kwa usahihi hiyo chura
Kwan hujui kalio ndio churaMsaada wa picha ya gari na chura
utakua umenifananishaSijui mimi
sio wote ni hao wasiojielewa mnaowala sbbu ya magari yenuHapa hatuzungumzi kupendwa tunazungumzia jinsi mnavyoliwa kirahisi na wenye magari
Wao, mie sio hao na inshallah mwenyezi mungu asinijaalie nna yangu alhamdulliah..Hakuna cha kujitambua nyie mchawi wenu gari
Hiyo hua ni choice ya mtu ,hatuwezi kukuingilia...Hata km ni gari linapendwa me ntajilia mzigo kirahisi wala sihitaji kupendwa
Nilikuwa sijuiKwan hujui kalio ndio chura
kazi kwako sasa umeshajuaNilikuwa sijui
Asante huku pori hamna hamna chura mkuu kuna bapa tukazi kwako sasa umeshajua
Mbona kuna wanaosema ni wasio jielewa ndo wanaopenda?Ni kweli hakuna mwanamke asiyependa mwanaume mwenye maendeleo
Tupia kapicha ka hiyo ndinga nimewaza tu kwa sauti
Kwani we unafikiri kwa kutumia kichwa kipi MkuuKama unataka kuiona njoo kwangu.
ahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] gari ni gari tu