Je, kuwa na gari ni kivutio kwa wadada katika mahusiano?

Je, kuwa na gari ni kivutio kwa wadada katika mahusiano?

Cha muhimu ni kuwa na chanzo cha kipato. Ukiwa na uhakika wa kipato kuanza na nyumba au gari ni uamuzi wa mtu. Watanzania wengi wanajenga nyumba taratibu,nyumba inachukua hadi miaka mitano kwisha. Sasa miaka yote mitano hii uteseke na usafiri wa bongo kisa nyumba?

Kama una visenti nunua usafiri then anza kujenga taratibu, tuache uoga wa maisha.
Wee jamaaa ulikwepo kwichwani kwangu hafu siwezagi kufanya vitu robo robo asee
 
Sijui kwa wengine hili limekaaje ila binafsi naona gari nalo ni kivutio kwa hawa dada zetu, Kuna binti hapa mtaani enzi hizo sina gari aliniwekea ngumu ila mwaka jana nilivyomiliki gari yani alilegeza hata sikuamini,

I mean kuna siku kuna bidada anajiheshimu sana tu nlimpa lifti tukabadilishana contacts kesho yake kiutani nikamwambia tumeet akakubali fasta yani nikawa nacheka tu maana ilikuwa natania,

Kuna matukio mengi sana ambayo yalinithibitishia kuwa hawa dada zetu wana kaugonjwa kwa wanaume wenye magari, Japo haya matukio huwa yananitokea mimi najiheshimu na nampenda sana mpenzi wangu sipo tayari kutake advantage kwa hawa mabinti wa lifti,

So mimi ninachokiona kuna uwezekano mkubwa kwamba ukiwa na Gari wanawake utakuwa kivutio kwao....Ni fikra tu


Ni umaskini ndugu ukiona hivyo idadibya watz wengi ni maskini hasa wanawake. MTU aliyezaliwa na kukulia kwenye nagari hawezi ona gari ni kitu cha ajabu. Umaskini ni kitu kibaya sana tupige vita umaskini
 
Wengi wao hushobokea sana magari, japo wapo wanaojitambua pia, respect kwao.
 
Sijui kwa wengine hili limekaaje ila binafsi naona gari nalo ni kivutio kwa hawa dada zetu, Kuna binti hapa mtaani enzi hizo sina gari aliniwekea ngumu ila mwaka jana nilivyomiliki gari yani alilegeza hata sikuamini,

I mean kuna siku kuna bidada anajiheshimu sana tu nlimpa lifti tukabadilishana contacts kesho yake kiutani nikamwambia tumeet akakubali fasta yani nikawa nacheka tu maana ilikuwa natania,

Kuna matukio mengi sana ambayo yalinithibitishia kuwa hawa dada zetu wana kaugonjwa kwa wanaume wenye magari, Japo haya matukio huwa yananitokea mimi najiheshimu na nampenda sana mpenzi wangu sipo tayari kutake advantage kwa hawa mabinti wa lifti,

So mimi ninachokiona kuna uwezekano mkubwa kwamba ukiwa na Gari wanawake utakuwa kivutio kwao....Ni fikra tu
sio tu kivutio kwa wanawake bali jamii nzima
 
yaan mtu utumia bando kupiga misimu kila saa,,mara ununue mafuta ya gari,dinner,vinywaji na ulipie hotel ndo dem anakuona unamridhisha,kwa stahili hii hamtaolewa,,ukiwa maskini hugegedi,,sasa acha tuzisake
wasioolewa hao wanaoshoboka na magari yenu
 
Back
Top Bottom