Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,226
- 8,961
Ahaa basi sawaa, mkumbukage kinga mkuukaenda mbali mkuu,,ila hua anakujaga,,tukishakunywa bia mbili na nyama choma nikiomba napewa tuu bila hiyana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa basi sawaa, mkumbukage kinga mkuukaenda mbali mkuu,,ila hua anakujaga,,tukishakunywa bia mbili na nyama choma nikiomba napewa tuu bila hiyana
Ndio sina kabisa churaKwani chura mpaka ushindwe kutembea? Ulionayo yatosha sanaaa
Duuuh kweli ?[emoji23][emoji23][emoji23]hata ukiwa na trekta wanakuja
Njoo nikuonjeshe raha sana utapatakupakatwa ndio kupoje tena
unanifurahisha sana we ni mtu wa wapi mkuuMbona unainicheka
Ee mndaliDuuuh kweli ?
KhàaaaaaNjoo nikuonjeshe raha sana utapata
Mi niko jirani na viunga vya malawiunanifurahisha sana we ni mtu wa wapi mkuu
huko hamna wenye chura kwaniMi niko jirani na viunga vya malawi
Sawa ila naona wanawake hamna kigezo maalumu cha kupendaEe mndali
Mkuu wanaweza wakawepo ila sijui kuwa ni chura au ndo maana nimeomba picha ya huyo churahuko hamna wenye chura kwani
Anajiuliza mmasai na chura vipiii hem kaza uzi naeza susiawa mimiHivi kwanini unapenda kuniuliza maswali ya kimitego mitego wewe lakini...!
Wengi hawajui wanataka nini kwenye mahusianoSawa ila naona wanawake hamna kigezo maalumu cha kupenda
Katokea wapi tena huyuUmeona ee....?!
hahahhahaKila mtu anapenda vizuri. Sio mwanamke wala mwanaume.
Natanguliza jibu langu mii awepo wa kushika tume nimeuliza lkn unapenda chura yupi aliyejazia sana au wale wa size ya kati
Mbona kama si wachuga huyu au amekulia pwani?he he he yangu macho
Haha hahaaaa... Asante shemelaa..Katokea wapi tena huyu
Karibu shem sijui tuahamie kwetuuu
sio wote bwana hao hao wanaoshoboka na magari ya watu
Pole kwa kuwa hukutaka kuelewa nilichomaanisha.Acha uchochezi wewe kwani wasio na magari wanadumu?kuumizana kupo tu wala sio kwa sababu ya gari