Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Nashukuru mkuu maana naona niko gizani wanacho zungumzia hapa ila hakikisha unapiga picha gari na huyo churaMkuu ngoja nikapige nitaweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru mkuu maana naona niko gizani wanacho zungumzia hapa ila hakikisha unapiga picha gari na huyo churaMkuu ngoja nikapige nitaweka
hata kama lipo si hilo la churaLisemwalo lipo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hupajui alipohamia?sema wanawake generally,,,kuna mmama mtu mzima alinipa penzi hivihivi kisa tuu gari,,nilifaidi sana ,,saiv kahama basi namisss mambo yake
Tena mimi case za magari ndo nazipendaa...utanihunt hadi uchokee na pua lazima uangukie
Mbona naona msisitizo upo kwenye chura mkuu... vipi!Nashukuru mkuu maana naona niko gizani wanacho zungumzia hapa ila hakikisha unapiga picha gari na huyo chura
hahahahhhhMkuu samahan kapicha ka hiyo gari mnayo zungumzia na hiyo chura ikiwepo pemben sio mbaya
si umuache tu mwambie humtaki
kupakatwa ndio kupoje tenaAtakua anapenda kupakatwa huyu
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu mbona mi kama ya fenesi lakini anaeniwinda ana gariSIO KILA MTU ana windwa kwa kua mdada sura Kama ya fenesi unazani utafwatwa, hata lifti hupati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu ngoja nikapige nitaweka
Nashukuru mkuu maana naona niko gizani wanacho zungumzia hapa ila hakikisha unapiga picha gari na huyo chura
Kwani chura mpaka ushindwe kutembea? Ulionayo yatosha sanaaasitaki chura wa nn mm
Mkuu nimesema simjui chura anae zungumziwa na hiyo gari ndo maana naaomba msaada wa pichaMbona naona msisitizo upo kwenye chura mkuu... vipi!
Mbona unainichekahahahahhhh
hahahhhMbona naona msisitizo upo kwenye chura mkuu... vipi!
kaenda mbali mkuu,,ila hua anakujaga,,tukishakunywa bia mbili na nyama choma nikiomba napewa tuu bila hiyana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hupajui alipohamia?
Kila mtu atajibebea msalaba wake
[emoji23][emoji23][emoji23]hata ukiwa na trekta wanakujaInategemea na gari yenyewe ukiwa na li Rand rover kama la nyadikwa unadhani watakuja![emoji52]
Kaambie kaje kanyweee kiasi chake katarudi naakili zakeKamejifanya hakanielewi eti
sio wote bwana hao hao wanaoshoboka na magari ya watuamwachaje sasa??kupewa penzi ivi ivi ilivo ngumu unaanzaje kukataa gegedo la bure??hya yote yanasababishwa na nyie wanawake,,ukiwa unamtosheleza mtu wako sio rahisi kuchepuka,,mtu unaomba uchi mwaka mzima hupati kisa huna hela....unafikiri nikiwa na hela nitaacha kua zoazoa??lazima nilipize na lazima nionje kila type,,,,,,,,,,,,,,,,mbaaaf