Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Haha...me nimeuliza lkn unapenda chura yupi aliyejazia sana au wale wa size ya kati
Naomba nisijibu hapa. Ila jua mwanamke dela kanga umbea ila cha kukalia awe nacho. [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha...me nimeuliza lkn unapenda chura yupi aliyejazia sana au wale wa size ya kati
he he he yangu machoHaha...
Naomba nisijibu hapa. Ila jua mwanamke dela kanga umbea ila cha kukalia awe nacho. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu samahan kapicha ka hiyo gari mnayo zungumzia na hiyo chura ikiwepo pemben sio mbayaHaha...
Naomba nisijibu hapa. Ila jua mwanamke dela kanga umbea ila cha kukalia awe nacho. [emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu hawatakuelewa ujueNi kweli screpa.Tuna safari ndefu sana.GARI ni LIABILITY(kama deni vile).Nyumba ni bonge la asset(Kitega uchumi?).Lakini wadau wanasema nyumba huwezi kwenda nayo bar,nyumba haipigi honi nk Wanataka kitu ambacho watakuona nacho mtaani.Kwa vijana mnaochipukia milikini nyumba kwanza badala ya magari
Bado sijatoka kwenye mada lakini sijawai na sitopigwa ban mimiukumbuke huu uzi wa watu kuna ban ukumbuke
mm mwenyewe nilikua nasemaga hivyohivyo lkn nilipigwa ya siku mojaBado sijatoka kwenye mada lakini sijawai na sitopigwa ban mimi
Wapi nimesema nimekuona?we ushawahi kuniona mm
siulibisha nilivyomwambia DabyWapi nimesema nimekuona?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Shunie hawezi kuwa hao...maana kwa ile chura duuh
Nimesha liuza kwa ajiliyako njoo basidawa yao ww endelea kuwala tu si wanashoboka na gari lako
Hapana bhanaa nna kamuda hafu nime wa miss ujueMfyuuu naona mada imekuibua toka mafichoni
si umuache tu mwambie humtakiTena mm ananiganda mke wa mtu utadhani mm wake MJINGA kweli HUYU dada
Wadada wa mjini wengi wanapenda mtelemko tu na hawako real full drama....gari ni kitu cha kawaida mnoo
sisi wenyewe tumekumissHapana bhanaa nna kamuda hafu nime wa miss ujue
hahahhhhhaNimesha liuza kwa ajiliyako njoo basi
Atakua anapenda kupakatwa huyuNjoo nikutembeze na mkokoteni wangu ni kuchanganye na ndizi.
Penda magari wewe.
Mkuu ngoja nikapige nitawekaMkuu samahan kapicha ka hiyo gari mnayo zungumzia na hiyo chura ikiwepo pemben sio mbaya
Lisemwalo lipomm sina chura mjue nani kawadanganya hivyo