Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Mimi hapana anaekuja kuniudhi nakula kona mana hanijui si mjui y aniharibie yangumm mwenyewe nilikua nasemaga hivyohivyo lkn nilipigwa ya siku moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hapana anaekuja kuniudhi nakula kona mana hanijui si mjui y aniharibie yangumm mwenyewe nilikua nasemaga hivyohivyo lkn nilipigwa ya siku moja
Ahaa basi sawaa, mkumbukage kinga mkuu
Maneno yako yatoshasiulibisha nilivyomwambia Daby
[emoji8]sisi wenyewe tumekumiss
Kweli kabisa maana kuna watu wanavyo taka ni tofauti na walivyoWengi hawajui wanataka nini kwenye mahusiano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah! Mkuu kuwa makini aiseetunapimaga,,,,siwezi vaa nailon mm..laza ntaipaje,,,,,joto lake ni extra ordinary na anapnda show nefu za kibabe,,na yeye anapena uji wangu pia
Kifu cha mende chura wa nini sasahata kama lipo si hilo la chura
MatatizoKweli kabisa maana kuna watu wanavyo taka ni tofauti na walivyo
Cha muhimu ni kuwa na chanzo cha kipato. Ukiwa na uhakika wa kipato kuanza na nyumba au gari ni uamuzi wa mtu. Watanzania wengi wanajenga nyumba taratibu,nyumba inachukua hadi miaka mitano kwisha. Sasa miaka yote mitano hii uteseke na usafiri wa bongo kisa nyumba?Ni kweli screpa.Tuna safari ndefu sana.GARI ni LIABILITY(kama deni vile).Nyumba ni bonge la asset(Kitega uchumi?).Lakini wadau wanasema nyumba huwezi kwenda nayo bar,nyumba haipigi honi nk Wanataka kitu ambacho watakuona nacho mtaani.Kwa vijana mnaochipukia milikini nyumba kwanza badala ya magari
Kwa hiyo akikupenda kwa kuwa una kitu Fulani kikiisha atasepa auGari linakuongezea maksi tu!!! Ila kwa mdada anaekupenda hiki si kigezo kabisaa!
Yani bado unawindwa?[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu mbona mi kama ya fenesi lakini anaeniwinda ana gari
Kwa hiyo hayo matatizo ndo wanahamishia kwa wengine?Matatizo
Sawa sawa. Muhimu uhakika wa kipato. Kuna mwanamuziki Craig David aliwahi kuulizwa amenunua gari gani baada ya ku hit, akasema sina gari ila nafurahi sana nikipita showroom ya ferrari nikijua nina uwezo wa kununua zote walizozipanga.Issue za Gari zilikuwa Zamani siyo sasa.Sasa hivi ukiwa vizuri mfukoni ndiyo mpango mzima.Mnakodi gari mnaenda kuenjoy huko kwenye mbuga za wanyama.Mnakwea pipa mnaenda kula upepo visiwa vya Comoro.Mnakwea pipa kwenda shopping J'burg."That is what they want these days.C'est bon mon ami?
Nimemaanisha suala la mapenz matatizo matupuKwa hiyo hayo matatizo ndo wanahamishia kwa wengine?
Ndonwengi huko ila hajui tuhuko hamna wenye chura kwani
Sawa mkuuNimemaanisha suala la mapenz matatizo matupu
Wewe watakajeWengi hawajui wanataka nini kwenye mahusiano
Hapa nasubiri jibuWewe watakaje