Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Msaada wa picha ya gari na churahhahhahahhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada wa picha ya gari na churahhahhahahhh
ukileta habari zako lazima ninune[emoji8]
Usinune sasa
Sijui miminan wa chuga
Mkuu ujinga huo sifanyagiMkuu picha naomba ili niangalie kwa usahihi hiyo chura
Asante sanaWengi wao hushobokea sana magari, japo wapo wanaojotambua pia, respect kwao.
Hakuna habali zaidi ya zile mana ndo asili yetuukileta habari zako lazima ninune
Sawa mkuuMkuu ujinga huo sifanyagi
Samahani kama kuna watu nitawagusa.Sina nia mbaya.Nakubaliana na wewe lakini raha ya gari uipack nyumbani kwako ndani ya geti asubuhi unaamka unaiwasha chopa unatembea zako.Inapendeza sana.Usafiri.ni.mgumu Dar.Mikoani hawana hiyo kadhia.Cha muhimu ni kuwa na chanzo cha kipato. Ukiwa na uhakika wa kipato kuanza na nyumba au gari ni uamuzi wa mtu. Watanzania wengi wanajenga nyumba taratibu,nyumba inachukua hadi miaka mitano kwisha. Sasa miaka yote mitano hii uteseke na usafiri wa bongo kisa nyumba?
Kama una visenti nunua usafiri then anza kujenga taratibu, tuache uoga wa maisha.
Kwahiyo wanaokaa ghulafani wasimiliki gariSamahani kama kuna watu nitawagusa.Sina nia mbaya.Nakubaliana na wewe lakini raha ya gari uipack nyumbani kwako ndani ya geti asubuhi unaamka unaiwasha chopa unatembea zako.Inapendeza sana.Usafiri.ni.mgumu Dar.Mikoani hawana hiyo kadhia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kuna jamaa kitaaa anagari hata halieleweiki ila anawaburuza km samatta
Hakuna cha kujitambua nyie mchawi wenu garikwa wasio jitambua hua wanaokotwa sana na mwanamme mwenye gari,bila kutaka kujua kama gari yake au kaazima hawana mda hata wakuangalia card ya gari,muhimu kapandishwa mbela mengine hataki kujua,lakini wanawake wanaojitambua hata kama hana gari anajua kujiongeza na hata kama unagari anaweza kusema sikutaki na gari yako..
Mkuu hata nyumba ya kupanga ina geti,unala asubuhi unaiwasha unatwmbea zako.Samahani kama kuna watu nitawagusa.Sina nia mbaya.Nakubaliana na wewe lakini raha ya gari uipack nyumbani kwako ndani ya geti asubuhi unaamka unaiwasha chopa unatembea zako.Inapendeza sana.Usafiri.ni.mgumu Dar.Mikoani hawana hiyo kadhia.
Hata km ni gari linapendwa me ntajilia mzigo kirahisi wala sihitaji kupendwaRegardless,ila wapo wanao jitambua hao wengine 19 hawakupendi wewe wanapenda gari sasa wana umuhimu kwani
inapendwa gari sio wewe mwenye gari..
Hapa hatuzungumzi kupendwa tunazungumzia jinsi mnavyoliwa kirahisi na wenye magarisawa lkn haihusiani na kumpenda mtu sbbu ana gari utakua umenielewa
Unasema tuu ...ww lakini hakuna demu mgumu cc tunawajua vizur nyieTena mimi case za magari ndo nazipendaa...utanihunt hadi uchokee na pua lazima uangukie
Ina geti lakini siyo yako!!Mimi silazimishi mtu kujenga nyumba natoa mawazo yangu tu.Nyumba ni bora zaidi ya gari mambo ya debate za secondary education is better than money!Hakuna cha kujitambua nyie mchawi wenu gari
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]Unasema tuu ...ww lakini hakuna demu mgumu cc tunawajua vizur nyie
Hata km atahamia kwa mwingine km alishaliwa kwa huyu wa kwanza ...bhas thamani Yake ndo itakavyozid kuporomokaKabisa!!! Au ni rahisi kukuacha na kwenda kwa mwenye gari zuri zaidi na lakwako
Hadi wake za watu mbona wanaliwa tuu na kwenye magarwasioolewa hao wanaoshoboka na magari yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbaya zaidi hawa madem hawajali gar ni la serikali au la ,wao gar ni gar tu......