Je, kuwa na gari ni kivutio kwa wadada katika mahusiano?

Je, kuwa na gari ni kivutio kwa wadada katika mahusiano?

Cha muhimu ni kuwa na chanzo cha kipato. Ukiwa na uhakika wa kipato kuanza na nyumba au gari ni uamuzi wa mtu. Watanzania wengi wanajenga nyumba taratibu,nyumba inachukua hadi miaka mitano kwisha. Sasa miaka yote mitano hii uteseke na usafiri wa bongo kisa nyumba?

Kama una visenti nunua usafiri then anza kujenga taratibu, tuache uoga wa maisha.
Samahani kama kuna watu nitawagusa.Sina nia mbaya.Nakubaliana na wewe lakini raha ya gari uipack nyumbani kwako ndani ya geti asubuhi unaamka unaiwasha chopa unatembea zako.Inapendeza sana.Usafiri.ni.mgumu Dar.Mikoani hawana hiyo kadhia.
 
kwa wasio jitambua hua wanaokotwa sana na mwanamme mwenye gari,bila kutaka kujua kama gari yake au kaazima hawana mda hata wakuangalia card ya gari,muhimu kapandishwa mbela mengine hataki kujua,lakini wanawake wanaojitambua hata kama hana gari anajua kujiongeza na hata kama unagari anaweza kusema sikutaki na gari yako..
Hakuna cha kujitambua nyie mchawi wenu gari
 
Samahani kama kuna watu nitawagusa.Sina nia mbaya.Nakubaliana na wewe lakini raha ya gari uipack nyumbani kwako ndani ya geti asubuhi unaamka unaiwasha chopa unatembea zako.Inapendeza sana.Usafiri.ni.mgumu Dar.Mikoani hawana hiyo kadhia.
Mkuu hata nyumba ya kupanga ina geti,unala asubuhi unaiwasha unatwmbea zako.

Kama una hela maisha ni magumu ukiwa huna gari kuliko ukiwa huna nyumba. Kukodi nyumba ni nafuu kuliko kukodi gari.
 
Hakuna cha kujitambua nyie mchawi wenu gari
Ina geti lakini siyo yako!!Mimi silazimishi mtu kujenga nyumba natoa mawazo yangu tu.Nyumba ni bora zaidi ya gari mambo ya debate za secondary education is better than money!
 
Back
Top Bottom