Si ndo hapo, sema wadada wa mjini wanapenda miteremkoo! Ni kutoelewa tu ila mapenzi hayana uhusiano kabisa na gari wala pesamalkia kama unampenda mtu gari ni nn kwan, vitu vingine ulimbukeni tu.
Mmmmh... hakuna asiyependa vizur.malkia kama unampenda mtu gari ni nn kwan, vitu vingine ulimbukeni tu.
acha waendelee kuliwa sbbu ya gariSi ndo hapo, sema wadada wa mjini wanapenda miteremkoo! Ni kutoelewa tu ila mapenzi hayana uhusiano kabisa na gari wala pesa
sawa lkn haihusiani na kumpenda mtu sbbu ana gari utakua umenielewaMmmmh... hakuna asiyependa vizur.
Gari ni usafiri
Gari ni hadhi
Gari ni heshima
Gari ni utajiri
Gari ni utanashati
Sio lazima gari liwe niliyosema.
Sijakuelewa dadavua na ikiwezekana usasambuesawa lkn haihusiani na kumpenda mtu sbbu ana gari utakua umenielewa
Wanakuja shtuka umri ushaenda....afu wangejua hamna kitu wanaume wanapenda kama kuchase wadada...yani we mkatae na gari yake uone [emoji23][emoji23]atakuhunt mpaakaaaacha waendelee kuliwa sbbu ya gari
hahahhahah mwisho wa siku wamejazana love connect wanatafuta wa kuwaoa na umri unakalibia menopauseWanakuja shtuka umri ushaenda....afu wangejua hamna kitu wanaume wanapenda kama kuchase wadada...yani we mkatae na gari yake uone [emoji23][emoji23]atakuhunt mpaakaaa
we endelea kuwala Daby si wanakuja wenyewe sbbu ya gariSijakuelewa dadavua na ikiwezekana usasambue
Tena mimi case za magari ndo nazipendaa...utanihunt hadi uchokee na pua lazima uangukiehahahhahah mwisho wa siku wamejazana love connect wanatafuta wa kuwaoa na umri unakalibia menopause
Najaribu kutaka kukueleza jambo la msingi ila naona hautakiwe endelea kuwala Daby si wanakuja wenyewe sbbu ya gari
Elezea mkuu...tupo wenguNajaribu kutaka kukueleza jambo la msingi ila naona hautaki
Wewe mkuu wa kiume halitakufaaElezea mkuu...tupo wengu
Ohh...sikujua linahusu jinsia...Asante kwa kujibu ki gentle man mana wengine wana majibu ya kuudhiWewe mkuu wa kiume halitakufaa
Poa poa mkuu...Ohh...sikujua linahusu jinsia...Asante kwa kujibu ki gentle man mana wengine wana majibu ya kuudhi
hahahhhhahTena mimi case za magari ndo nazipendaa...utanihunt hadi uchokee na pua lazima uangukie
elezea nakuskilizaNajaribu kutaka kukueleza jambo la msingi ila naona hautaki
mm mwenyewe dume [emoji23] we unajuaje kama mm keWewe mkuu wa kiume halitakufaa
Ongea ukweli wewe haupendi vitu vizuri gari pesa nyumba nzuri elimu nzuri nguo nzuri simu nzuri n.k?elezea nakuskiliza