Hili suala limenikera sana ....Yange yange Fc...gongowazi hamuamini macho yenu...na kwa umbea huu mbaba unafanya kazi muda gani ya kuingiza kipato...au una mshangazi ww umetanua tuu miguu kwny kochi unapost kila muda ishu za Simba... [emoji23] [emoji23]
hujui mkuu. mimi nipo ndani ya yanga. kuna mambo sitaki kuyasema hapa tutawapa faida mikiaHapana mkuu..
Yanga Kwa nidhamu hawanaga masihara....
Fuatilia Kwa bangala .....Shaban ....saido waliwapiga chini wakiwa at the peak kisa nidhamu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
hata akibakizwa atacheza namba ya naniSisi yanga kwa kweli tulitamani Chama aachwe. Imetuumiza sana kubakizwa.
ya mshangiliajihata akibakizwa atacheza namba ya nani
Wewe Chura barua ya Simba ambayo ni internal unataka tuweke hapa wazi, hivi hiyo ni akili au UTOPOLO?Kamuandikia nani barua? Weka hiyo barua hapa tuione basi. Simba ndio imemuomba msamaha Chama.
Yapi mkuu...fungukahujui mkuu. mimi nipo ndani ya yanga. kuna mambo sitaki kuyasema hapa tutawapa faida mikia
Sema Chama anapendwa sana na mashabiki hata huko Zambia lakini kwa sababu za kinidhamu huwa Avram Grant hampangi first eleven.Conclusion; Chama ni mkubwa kuliko mbumbumbu fc.
Karne hii tunasameheana kwa barua si sheria na kanuni.Suala la Chama katika Club lilikuwa la kawaida kama mwajiriwa ndio maana hatua za kawaida zilichukuliwa.
Hayo maneno ya mara kocha kasema hivi mara vile ni ya hao Wacha-mbuzi na waandishi uchwara tuu.
Chama kaandika barua ya kuomba radhi na kasamehewa basi!
Kikawaida mchezaji anaihitaji sana timu akiwa kwenye mkataba kwani wakiamua wanaweza msahau na mkataba ukiisha jina limesahaulika.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ni Kweli Simba Ni mbuzi ,kondoo mbele ya chama clotaus[emoji599]HAPO KWANZA NCHEKE[emoji23]
Inawezekana simba ndio waliomuomba msamaha Chama (hii ni sawa una manzi mkali sana anakutawala, hata akifanya kosa wewe ndiye uta apologize [emoji22]).
Benchika alisema hawezi kubali Chama kurudi kwa vile amemvimbia na hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu na Simba walipiga biti kali, ambapo ilionekana Chama na Kapama lazima wang'oke lakini jana kinyonge sana wametangaza wamemsamehe Chama!
Je, nikweli Chama ni mfupa mgumu kwa Simba?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] wee tapeli ty yanga waajiri machizihujui mkuu. mimi nipo ndani ya yanga. kuna mambo sitaki kuyasema hapa tutawapa faida mikia
Watu tunafahamu habari ya Chama kuomba msamaha tangu wiki mbili zilizopita,nyie kaeni na uvivu wenu wa kufuatilia habariKamuandikia nani barua? Weka hiyo barua hapa tuione basi. Simba ndio imemuomba msamaha Chama.
Una uhakika udadi ya wenye akili imeongezeka kutoka JK na baba yake Haji?Wewe Chura barua ya Simba ambayo ni internal unataka tuweke hapa wazi, hivi hiyo ni akili au UTOPOLO?
Daah ila Chama kamzidiKati ya Chama na Okwi nani msumbufu zaidi kwa Simba?
Inasikitisha sana mkuu [emoji23]Ni Kweli Simba Ni mbuzi ,kondoo mbele ya chama clotaus
Ndio ili uendelee kumkojolea sehemu pazuri, kwani wewe ulitaka kusemaje? Ukaze shingo alafu usikojolee sehemu pazuri au? Manzi mzuri akitawala atatawala tu unamuacha atawale Ila kuna angle atajaa na wewe utamtawala unajichukulia point 3 za ujazo kunja minyaminya sana suguliasugulia sana kisha mwagia kwa ndanimanzi mkali sana anakutawala, hata akifanya kosa wewe ndiye uta apologize
Nitakupa hiyo tsh 100, 000 ukatolee mimba. Maana sasa naona tu una makasiriko. Mi sikutaka upate mimba lakini. Unaniona tapeli sababu tu ya tsh 100, 000 ya kutolea mimba? Najua unanitukana sana kwa watu. Its ok. Sitaki maneno na wewe.[emoji23][emoji23][emoji23] wee tapeli ty yanga waajiri machizi
Uwa wanawaacha wachezaji wao kihuni sana ili wasisajiliwe na Simba, wanawaacha mwishoni kabisa mwa dirisha la usajili kwa kuwachelewesha kuwavunjia mkatabaHapana mkuu..
Yanga Kwa nidhamu hawanaga masihara....
Fuatilia Kwa bangala .....Shaban ....saido waliwapiga chini wakiwa at the peak kisa nidhamu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mbona hamkumpiga chini fei? Mkasababisha hadi MAZA akaingiliaHapana mkuu..
Yanga Kwa nidhamu hawanaga masihara....
Fuatilia Kwa bangala .....Shaban ....saido waliwapiga chini wakiwa at the peak kisa nidhamu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app