sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kwangu naona dunia kwa mwaka 2100 wengi humu tutakuwa tupo kwenye makazi yetu ya kudumu.
Naiona dunia hapa kwetu tutaanza utaratibu wa mazishi kwa kuchomwa moto kwasababu ya changamoto ya ardhi.
Naiona dunia miaka hio, mambo ya ushoga, usagaji, kubadili jinsia yatakuwa katika kiwango cha juu mno na yataruhusiwa na kuonekana vitu vya kawaida.
Naiona dunia ikitumia maroboti kwenye kazi na watu wengi kukosa ajira.
Naziona nchi za ulaya, wazawa (wazungu) wakiwa wachache sana huku maharamia wakiijaza nchi (Waarabu, Wahindi, Waafrika)
Naiona Tanzania baadhi ya makabila yakiwa yamefutika kabisa baada ya vizazi kuchanganywa sana.
Naiona dunia hapa kwetu tutaanza utaratibu wa mazishi kwa kuchomwa moto kwasababu ya changamoto ya ardhi.
Naiona dunia miaka hio, mambo ya ushoga, usagaji, kubadili jinsia yatakuwa katika kiwango cha juu mno na yataruhusiwa na kuonekana vitu vya kawaida.
Naiona dunia ikitumia maroboti kwenye kazi na watu wengi kukosa ajira.
Naziona nchi za ulaya, wazawa (wazungu) wakiwa wachache sana huku maharamia wakiijaza nchi (Waarabu, Wahindi, Waafrika)
Naiona Tanzania baadhi ya makabila yakiwa yamefutika kabisa baada ya vizazi kuchanganywa sana.