Je, kwa matendo haya ni imani za kishirikina?

Je, kwa matendo haya ni imani za kishirikina?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Huyu mama Mdigo, several times weekly, anaamka usiku saa 10 anaanza kufagia uwanja, tena kwenye giza totoro bila taa, Je tafsiri yake ni nini? Nadhani ana imani na ushirikina fulani. Ebu wadigo please tufafanulie kufagia usiku, tena kwenye giza kuna maana gani? Mnaamini nini katika hilo?

Pili, kukata mit matawi. Yakitokeza tu wanayakata na kuja kwa jirani kutafuta kivuli wakati yeye amekata kivuli cha miti yake. Mnaamini kuna nini kwenye matawi ya miti?

These are my observation kwa ndugu zangu wadigo katika tembea yangu kwao

Mshana Jr nipe maoni yako please
 
Ishi kwa imani wacha hofu, inawezekana wewe kwa mawazo yako haya ndio ukawa mchawi wa mama mdigo.
I am reporting my observations, there is nowhere in my thread/post I have indicated to raise fear with these doings!
 
Inawezekana mwenzako ni mwezi mchanga na vinamchanganyia randomly so kiukweli wewe ndiye mwenye imani za kishirikina.
 
ni mwezi mchanga na vinamchanganyia randomly
mwezi mchanga ni nini? kumchanganyikia ni nini? haya ni maneno ya ushirikina/false beliefs and the like, seems unayajua haya mambo vizuri
 
mwezi mchanga ni nini? kumchanganyikia ni nini? haya ni maneno ya ushirikina/false beliefs and the like, seems unayajua haya mambo vizuri
Kwa kutojua 'mwezi mchanga' inaonyesha interactions zako na jamii ni online na watu wa class fulani. Mtoto wa geti
 
Kwa kutojua 'mwezi mchanga' inaonyesha interactions zako na jamii ni online na watu wa class fulani. Mtoto wa geti
It depends on jamii surrounding you, kama jamii za "mwezi mchanga" ndizo unazointeract nazo, utayajua ya mwezi mchanga, kama jamii inyokuzunguka ni "modern" one with no interaction na jamii za wenyeji na mila zao, hutayajua ya mwezi mchanga
 
Ujinga wa watu weusi tu hawana lolote
Najua hamna lolote ni kujdanganya na uchawi/ushirikina ila nataka kujua kwanini wanafagia usik, na si mmoja ni wengi tu. Anakata matawi ya miti anaondoa kivuli, lkn wakati wa jua kali anakuja kwako kutafuta kivuli (kama mti uko mpakani)/ kujikinga jua.

Ukiwauliza kulikoni unakata matawi ya kivuli, they never respond, anacheka tu....
 
It depends on jamii surrounding you, kama jamii za "mwezi mchanga" ndizo unazointeract nazo, utayajua ya mwezi mchanga, kama jamii inyokuzunguka ni "modern" one with no interaction na jamii za wenyeji na mila zao, hutayajua ya mwezi mchanga
Jamii 'modern' Tz? Miaka 30+ nyuma hakukua na jamii modern, hata wanasiasa wametumia hili neno. Kwamba ni mtoto wa geti na under 18? Sometime unasound matured kumbe ni mdogo!? Una hekima ya kuzidi umri wako.
 
Yesu ndio kiboko ya wachawi. Mpokee awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako.

Ukibisha waganga na maustaadh watakula sana hela zako.
Mbali na kumpokea yesu lakini lazima ujishighulishe kupambana nao ,
 
Kweli dunia and nabadilika kutoka kutoa cheche za chadema hadi kuhangaika na ushirikina wa kidigo
 
Huu ni udhirikina na anachofagia sio uchafu huu wa kawaida bali kwa imani zao anafagia mambo yote mabaya, kurogwa, nuksi, mikosi nknk.

Matawi hayo ya miti anayokata anaamini yanazuia baraka zake nk.. Lakini pia ni kama kupata clear view ama gateway nzuri wanapopaa
Kwenye ufagizi kama anafanya kwa vipindi fulani tu basi hapo ni mahali pa vikao vyao.. Kufagia kuna tafsiri mbili 1.

Masndalizi ya mkutano 2. Mkutano umeshaisha.

Mikutano na vikao vyao mara nyingi huambatana na kula nyama za watu na kunywa damu zao.

Agenda zao huwa
  • Changamoto wanazokutana nazo maeneo ya kazi na wanayoishi.. Mfano mikutano ya kidini nk
  • Usuluhishi kati yao
  • Kupandishana vyeo
  • Adhabu mbalimbali
  • Maonyo
  • Kupanga zamu za kuleta chakula (nyama na damu)
  • Kuteua viongozi/kubadilisha viongozi
  • Mikutano ya kawaida ya mwezi wiki siku nk

Kwenye hayo yote kila eneo(kilinge) lina matumizi yake kwa shughuli husika... Kwa mfano sasa hivi tunapoelekea mwisho wa mwaka ni kipindi pia cha maandalizi ya sherehe za mwaka za wachawi nknk
 
Ishi kwa imani wacha hofu, inawezekana wewe kwa mawazo yako haya ndio ukawa mchawi wa mama mdigo.
Retired sio mchawi namjua .. Na kwakweli si jambo la kawaida kwa mtu kufagia uwanja alfajiri pasipo na mwanga wa kutosha ama kukata matawi ya miti nyimbani kwako na kwenda kutafuta kivuli kwa jirani
 
Usiishi kwa hofu utaumia kwa mengi, kikubwa amini imani yako
 
Huu ni udhirikina na anachofagia sio uchafu huu wa kawaida bali kwa imani zao anafagia mambo yote mabaya, kurogwa, nuksi, mikosi nknk...
Matawi hayo ya miti anayokata anaamini yanazuia baraka zake nk.. Lakini pia ni kama kupata clear view ama gateway nzuri wanapopaa
Kwenye ufagizi kama anafanya kwa vipindi fulani tu basi hapo ni mahali pa vikao vyao.. Kufagia kuna tafsiri mbili 1. Masndalizi ya mkutano 2. Mkutano umeshaisha
Mikutano na vikao vyao mara nyingi huambatana na kula nyama za watu na kunywa damu zao
Agenda zao huwa
Changamoto wanazokutana nazo maeneo ya kazi na wanayoishi.. Mfano mikutano ya kidini nk
Usuluhishi kati yao
Kupandishana vyeo
Adhabu mbalimbali
Maonyo
Kupanga zamu za kuleta chakula (nyama na damu)
Kuteua viongozi/kubadilisha viongozi
Mikutano ya kawaida ya mwezi wiki siku nk

Kwenye hayo yote kila eneo(kilinge) lina matumizi yake kwa shughuli husika... Kwa mfano sasa hivi tunapoelekea mwisho wa mwaka ni kipindi pia cha maandalizi ya sherehe za mwaka za wachawi nknk
Dunia ina mambo hii
 
Back
Top Bottom