Je, kwa sababu hizi Wizara ya Mawasiliano ilikuwa sahihi kumtimua Elon Musk na intaneti yake?

Uyo bwana ni wako pekeako ndugu yangu..usitujumuishe wote
Na mimi sikutaka wajinga wawe miongoni mwa kile nimekiita ni Bwana wa mabwana ambaye yeye ndiye astahili kuitwa Bwana wa yote

Mtanisamehe ndugu zangu, niliamini wote tunaupeo huo wa kiufahamu kuhusiana na matumizi ya jina hilo mkuu
 
Kila nchi huwa inalinda utajiri wa matajiri wake.
 
Bora yeye akichukua tutapewa bando wananchi. Je hawa manyanganyi yetu yanatupa ahueni au ni mitatizo tu alwaysssssss
 
Na mimi sikutaka wajinga wawe miongoni mwa kile nimekiita ni Bwana wa mabwana ambaye yeye ndiye astahili kuitwa Bwana wa yote

Mtanisamehe ndugu zangu, niliamini wote tunaupeo huo wa kiufahamu kuhusiana na matumizi ya jina hilo mkuu
Kwaiyo mjinga ni yule anaetofautiana nawe kiimani!
 
Hata Congo atakuwa yumo maana wanaitegemea Congo kwaajili ya uzalishaji wa magari yenye kutumia umeme.
 
Kwaiyo mjinga ni yule anaetofautiana nawe kiimani!
Tunaotofautiana ñao kiimani hawawezi kukubaliaña na wewe eti binadamu achukue nafasi ya jina la aliyemuumba
 
Hayo mengine anayajua mwenyewe.
Hata angeliruhusiwa kuja kuunganisha internet ya bei poa, kwa Tz ingelifanywa ya bei ghali kama ambavyo umeme wa bei rahisi kutokana na kauli za Serikali yenyewe, lakini umefanywa kuwa ghali kwa ajili ya kunufaisha mifisadi iliyojaa Serikalini.
 
Hili suala nilishatolea ufafanuzi ila watu wamekuwa wabishi sana. Labda wakiambiwa Starlink inaeneza ushoga ndo wataelewa.
 
Mtu kazaliwa South Africa halafu asiijue Tanzania kweli bro? Are u serious? Waafrica wa Africa kusini wanaweza wasiijue Tanzania but not white from SA hasa wa umri wa Elon
 
Huwa nahisi hawa matajiri wamegawana vitengo vya kushughulikia mambo ya Dunia. Bill Gates eyemambo ya tiba, chanjo na kupunguza idadi ya watu dunian, na huyu Musk yeye mambo ya kisiasa na teknolojia
 
Sababu kubwa ya kumzuia huyu mwamba kuwekeza ni kuyalinda makampuni ambayo serikali ya CCM inauswahiba nayo ili yasianguke.Manake bei za Ellon Musk ziko chini. Rejea madhila yaliwapata Eric kabendera na Tundu Lissu. Kuhusu Mazungumzo yao kupewa wasiojulikana. Kampuni za marekani zinaheshimu sheria haziwezi kufanya huu uduanzi 🤔
 
Hawezi kushindana na watu wote, ataanguka kama walivyoanguka matajiri wengine
Elon musk sio kama matajiri ubwabwa wenu hao wanaoishi kwa kutegemea fadhila za kulamba miguu na mikundv vilaza wa ccm
Elon musk ni akili kubwa ile ,na kwa taarifa yako ndio Mtu pekee duniani anayetajwa kuwa atakuwa Trillionaire wa kwanza duniani ndani ya miaka kumi ijayo kutokana na innovations na superb projects anazofanya na ambazo anaendelea kuziibua kila siku

Na hana unafiki kwenye ukweli anapasua makavu hata pale Marekani ,vilaza wale wa Democrats akina sleepy Joe na Yule malaya Kamala na genge lao wanaujua moto wa Elon Musk .Anawapasulia makavu kila siku
We kaa hapo na akili zenu dumavu za zidumu fikra za mwenyekiti wa chama cha mazezeta Tanzania

Tanzania nchi ya wapumbavu wakazuia huduma za Starlink ambazo ni reliable Kwa kuwa na coverage kubwa hivyo kusambaza huduma nchi nzima na kasi + bei nafuu kwa watumiaji , wapumbavu Makada wa chama cha maiti CCM ,wakaona anaharibu ulaji wao kwenye hivyo vikampuni vya kipumbavu ambavyo wanamiliki hisa bila kuangalia wide impact kwenye uchumi ambayo ingetokana na huduma za huyo jamaa na Starlink project .
Fools
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…