hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
WALE WANAOSEMA AZIZ KI NI WA KAWAIDA....SOMA HII PROFILE YKE JIBU BAKI NALO MWENYEWE
PROFILE STEPHANE AZIZ KI.
▪️Name - Stephane Ki Aziz
▪️Date of birth - March 6, 1996.
▪️Citizenship - Burkinafaso
▪️Position - Attacking midfielder
▪️Age - Twenty six years old
▪️Height - 1,75 Meter
Ki aziz alilelewa katika klabu ya Rayo Vallecano (Uth19) Spain kuanzia mwaka 2014 hadi mwaka 2015.
Alijiunga na klabu ya CD Rogue de Lepe hukohuko Spain kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2016.
Baada ya msimu mmoja aliondoka na kwenda nchini Cyprus , akajiunga na klabu ya Omonia mwaka 2017.
Mwaka 2018 akiwa na miaka (22) alijiunga na klabu ya Nea Selamis ambapo alicheza mwaka mmoja akaamua kuondoka Ulaya na kurejea nchini Ivory Coast,
Aziz ki Akajiunga na klabu ya ligi kuu Ivorycoast Academie De FAD FC,
Mwaka 2020 ndipo alijiunga na klabu ya ASEC Mimosas . Hapa ndipo nyota yake ilipoanza kung'aa upya.
Kwani katika misimu miwili aliyoitumikia klabu hiyo amefanikiwa kufunga mabao (8) kwenye michuano ya (CAF) na Assists (5)
KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
👕 08 - Games
🎯 03 - Assists
⚽ 04 - Goals
KLAB BINGWA AFRIKA
👕 10 - Games
🎯 02 - Assists
⚽ 04 - Goals
AZIZ KI Msimu huu amefanikiwa kufunga mabao matatu kwenye kombe la shirikisho.
⚽ vs Simba Sc🇹🇿
⚽ Vs Simba Sc 🇹🇿
⚽ Vs RS Berkane 🇲🇦
Jumla amefunga magoli kumi na mbili kwenye mashindano yote msimu huu (2021-22) katika michezo (26)
👕 26 - Michezo yote msimu huu.
⚽ 11 - Ngazi ya klabu 🇨🇮
🎯 05 - Assists overall
⚽ 01 - Timu ya taifa 🇧🇫
UPEKEE ;
Anaweza kucheza wings zote mbili, pia kiungo mshambuliaji namba (10) na kiungo mchezeshaji namba (8).
➡Kushoto ndio mguu anaoutumia zaidi.
PROFILE STEPHANE AZIZ KI.
▪️Name - Stephane Ki Aziz
▪️Date of birth - March 6, 1996.
▪️Citizenship - Burkinafaso
▪️Position - Attacking midfielder
▪️Age - Twenty six years old
▪️Height - 1,75 Meter
Ki aziz alilelewa katika klabu ya Rayo Vallecano (Uth19) Spain kuanzia mwaka 2014 hadi mwaka 2015.
Alijiunga na klabu ya CD Rogue de Lepe hukohuko Spain kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2016.
Baada ya msimu mmoja aliondoka na kwenda nchini Cyprus , akajiunga na klabu ya Omonia mwaka 2017.
Mwaka 2018 akiwa na miaka (22) alijiunga na klabu ya Nea Selamis ambapo alicheza mwaka mmoja akaamua kuondoka Ulaya na kurejea nchini Ivory Coast,
Aziz ki Akajiunga na klabu ya ligi kuu Ivorycoast Academie De FAD FC,
Mwaka 2020 ndipo alijiunga na klabu ya ASEC Mimosas . Hapa ndipo nyota yake ilipoanza kung'aa upya.
Kwani katika misimu miwili aliyoitumikia klabu hiyo amefanikiwa kufunga mabao (8) kwenye michuano ya (CAF) na Assists (5)
KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
👕 08 - Games
🎯 03 - Assists
⚽ 04 - Goals
KLAB BINGWA AFRIKA
👕 10 - Games
🎯 02 - Assists
⚽ 04 - Goals
AZIZ KI Msimu huu amefanikiwa kufunga mabao matatu kwenye kombe la shirikisho.
⚽ vs Simba Sc🇹🇿
⚽ Vs Simba Sc 🇹🇿
⚽ Vs RS Berkane 🇲🇦
Jumla amefunga magoli kumi na mbili kwenye mashindano yote msimu huu (2021-22) katika michezo (26)
👕 26 - Michezo yote msimu huu.
⚽ 11 - Ngazi ya klabu 🇨🇮
🎯 05 - Assists overall
⚽ 01 - Timu ya taifa 🇧🇫
UPEKEE ;
Anaweza kucheza wings zote mbili, pia kiungo mshambuliaji namba (10) na kiungo mchezeshaji namba (8).
➡Kushoto ndio mguu anaoutumia zaidi.