NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 347
- 432
Habari wana jamvi,leo nimekuja na thread hii. hili pengn kama kuna mtu,anaweza kujikuta katika hali kama hii,pengine wawe waangalifu .
Ep1
Mimi ni mzaliwa wa pili katika familia yetu ,familia yetu ilikuwa ya watoto sita .mama yetu alifariki tukiwa bado wadogo .tukabaki na baba ambaye alikuwa akai nyumbn kutokana na shughuli ,baba yetu alikuwa anakaa wilaya nyingine tofauti na tulipokuwa tunakaa,sisi,hivyo muda wa kuja nyumbn ilikuwa ni jumamosi na jumapili kila week,kaka yetu yeye aliondoka nyumbn kwetu kikazi,kwenda mkoa mwingine ,kipindi hicho mimi bado nilikuwa nakaa nyumbn kwetu sababu ya kuangalia wadogo zangu 4 ,ambao walibaki nyumbani,iyo ni kutokana na ukoo kukaa. baada ya msiba wa mama na kuona wadogo zangu ni wadogo na pia wanamasomo ,baba na kaka wako mbali kikazi hivo mimi nibaki nyumbn ili kuwangalia.
Kipindi huu hicho nilikuwa nafanya kazi katika sheli moja maarufu ya mafuta,
(Kisa)Basi siku moja nilikuwa off kazini.hivo nilienda mchana kazini kupiga story na wafanyakazi wenzangu,hilipofika Mida ya saa 10 niliondoka kulejea nyumbn,nilipofika nyumbn sikukuta mtu.basi nilichukua vifaa vya michezo na. Kuelekea uwanjani kucheza mpira, uwanja ulikuwa wa shule moja ya wasichana jirani na makazi yetu .hivo nilikuwa naenda mara zote ninapokuwa offkazin,
Basi nilipofika uwanjani niliwakuta wadogo zangu wawili .wa pili na wa tatu kutoka mwisho hila wa mwisho aliekuwa na miaka 16 alikuwa hayupo,na aliekuwa ananifatia alikuwa anashughuli zake hivo sikuwa na wasiwasi nae,mdogo wetu uyo wa mwisho wakati anazaliwa ,alikuwa na dalili zote za sickle cell(siko seli).hivo toka mdogo alikuwa anapitia mara kwa mara maumivu makali ya mifupa Asa mikono na miguu, pia kuishiwa damu mara kwa mara,hivyo ilisababisha ukuwaje wake uwe dhoofu,,hilikuwa ni mara 2 adi 3 kwa mwezi lazima tumpeleke hospital kutokana na kuishiwa damu ,na maumivu ayo ya mifupa ya mikono na miguu.alikuwa akianza kupata maumivu ayo ya mifupa, kama ni mguu usiku, atataka uhu bebe mguu uwe umeunyanyua juu ,ndio anapata unafuu kidogo au mkono,baada ya siku 2 adi 3 alikuwa ndio anapata unafuu lakini kama ulikuwa ni mguu.akianza kutembea baada ya kutoka kitandani ,anakuwa anachechemea mpaka siku kidogo tena ndio anakuwa na hali ya kawaida.
Nitaendelea.....
Asanteni.
Ep1
Mimi ni mzaliwa wa pili katika familia yetu ,familia yetu ilikuwa ya watoto sita .mama yetu alifariki tukiwa bado wadogo .tukabaki na baba ambaye alikuwa akai nyumbn kutokana na shughuli ,baba yetu alikuwa anakaa wilaya nyingine tofauti na tulipokuwa tunakaa,sisi,hivyo muda wa kuja nyumbn ilikuwa ni jumamosi na jumapili kila week,kaka yetu yeye aliondoka nyumbn kwetu kikazi,kwenda mkoa mwingine ,kipindi hicho mimi bado nilikuwa nakaa nyumbn kwetu sababu ya kuangalia wadogo zangu 4 ,ambao walibaki nyumbani,iyo ni kutokana na ukoo kukaa. baada ya msiba wa mama na kuona wadogo zangu ni wadogo na pia wanamasomo ,baba na kaka wako mbali kikazi hivo mimi nibaki nyumbn ili kuwangalia.
Kipindi huu hicho nilikuwa nafanya kazi katika sheli moja maarufu ya mafuta,
(Kisa)Basi siku moja nilikuwa off kazini.hivo nilienda mchana kazini kupiga story na wafanyakazi wenzangu,hilipofika Mida ya saa 10 niliondoka kulejea nyumbn,nilipofika nyumbn sikukuta mtu.basi nilichukua vifaa vya michezo na. Kuelekea uwanjani kucheza mpira, uwanja ulikuwa wa shule moja ya wasichana jirani na makazi yetu .hivo nilikuwa naenda mara zote ninapokuwa offkazin,
Basi nilipofika uwanjani niliwakuta wadogo zangu wawili .wa pili na wa tatu kutoka mwisho hila wa mwisho aliekuwa na miaka 16 alikuwa hayupo,na aliekuwa ananifatia alikuwa anashughuli zake hivo sikuwa na wasiwasi nae,mdogo wetu uyo wa mwisho wakati anazaliwa ,alikuwa na dalili zote za sickle cell(siko seli).hivo toka mdogo alikuwa anapitia mara kwa mara maumivu makali ya mifupa Asa mikono na miguu, pia kuishiwa damu mara kwa mara,hivyo ilisababisha ukuwaje wake uwe dhoofu,,hilikuwa ni mara 2 adi 3 kwa mwezi lazima tumpeleke hospital kutokana na kuishiwa damu ,na maumivu ayo ya mifupa ya mikono na miguu.alikuwa akianza kupata maumivu ayo ya mifupa, kama ni mguu usiku, atataka uhu bebe mguu uwe umeunyanyua juu ,ndio anapata unafuu kidogo au mkono,baada ya siku 2 adi 3 alikuwa ndio anapata unafuu lakini kama ulikuwa ni mguu.akianza kutembea baada ya kutoka kitandani ,anakuwa anachechemea mpaka siku kidogo tena ndio anakuwa na hali ya kawaida.
Nitaendelea.....
Asanteni.