Je Kwanini CEO wa Simba ajiuzulu Baada ya ujio wa V.A.R?

Yess [emoji106][emoji106][emoji106]
 
Tatizo R na L
 
Kulikua na thank you yake inakuja kajiona bora ajiongeze kuliko kudhalilikaa
 
Kwa masuala ya uongo uongo nyie na ccm kitu kimoja tu.
 
Hata bila VAR, team Debora Mwenda Talawa bila bila
 
Kwanini uongozi wa utopolo ni feki na hautambulikani..mnaendeshwa na matapeli
Mahakama imeamuru uongozi wote ukiongozwa na baba mungu mtakatifu hersi uondoke madarakani
 
Kwanini uongozi wa utopolo ni feki na hautambulikani..mnaendeshwa na matapeli
Mahakama imeamuru uongozi wote ukiongozwa na baba mungu mtakatifu hersi uondoke madarakani
[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…