Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yess [emoji106][emoji106][emoji106]Sasa wewe unatafuta nini humu kama Jf ya siku hiz ni mbaya!! Si ungekufa nayo tu mkuu, why black people are so much interested to dwell in past??? U guys are sooo obsessed with previous rather now??? Inakusaidia nini kukumbatia kitu that u cant change or controll??
Wewe na wachache wenzio mliobaki mbona hamshushi hizo nondo sasa??
Position ursefl as an agent rather that a victim of change
Umeandika upuuziMkuu mtazamo wako nn
Yeah, intelligence work for intelligent people. Siku hizi mtu anaamka anawaza mpiraKwa maana hyo walikuwa wanaingilia kaz ya police
Tatizo R na LUnadharirisha JF! Huu upuuzi, haushangazwi ukiandikwa na huyo Oscar, au kule FB.
Na nina uhakika kwa % 100 kuwa, hata wewe unajua kuwa kuondoka kwake, hakuna uhusiano hata kidogo na hizo VAR. Lakini kwa vile wewe kila kukicha, unaokoteza lolote la KUIKEJERI Simba, basi takataka zote unazileta hapa JF. UNAIDHARIRISHA JF!
Kwa masuala ya uongo uongo nyie na ccm kitu kimoja tu.Wakuu Je Kuna connection yeyote ya CEO la caf confederation team de Simba ( looser cup team) Imani kajula [emoji23] ya kujiuzuru na ujio wa VAR???
Coz hizi taarifa zote zimekuja Kwa kishindo na Kwa pamoja na kama Zina connection fulan ...coz uwezo wa Mr kajula ulikuwa tia maji tia maji .....haiwezekani CEO anajisifia kuanzisha channel ni mafanikio ya club [emoji32][emoji32]
Maon yangu
Naona kaona ....Kwa ujio wa VAR hii hapa sitoboi Bora nichimbe mapema
NB Je Kuna connection yeyote ya CEO kujiuzuru na ujio wa VAR??View attachment 3043700
Hata bila VAR, team Debora Mwenda Talawa bila bilaWakuu Je Kuna connection yeyote ya CEO la caf confederation team de Simba ( looser cup team) Imani kajula [emoji23] ya kujiuzuru na ujio wa VAR???
Coz hizi taarifa zote zimekuja Kwa kishindo na Kwa pamoja na kama Zina connection fulan ...coz uwezo wa Mr kajula ulikuwa tia maji tia maji .....haiwezekani CEO anajisifia kuanzisha channel ni mafanikio ya club [emoji32][emoji32]
Maon yangu
Naona kaona ....Kwa ujio wa VAR hii hapa sitoboi Bora nichimbe mapema
NB Je Kuna connection yeyote ya CEO kujiuzuru na ujio wa VAR??View attachment 3043700
Umshushie nani atajayezijengea hoja na kuziboresha, hawa akina Laban?Wewe na wachache wenzio mliobaki mbona hamshushi hizo nondo sasa??