Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga tunaweza pigwa na kitu kizito chenye ncha kali, tuombee hilo lisitokee. Hilo likitokea sijui nitajifichia wapiSahihi kabisa mkuu...hawa ni mabingwa watupu
AFRIKA au TANZANIA tena DAR?Nimefanya utafiti Baada ya droo za CAFCL kutoka tarehe 12 na nimepata kugundua kuwa mechi ya Yanga na mamelodi ndio mechi inayoteka hisia zaidi kuliko Even mechi zote ......
Makolo pia wameendelea kuingia kwenye mfumo wa Yanga Kwa kuzungumzia mechi hii zaidi ....huku wengine wakisahau yao
Takwimu: Kwenye Kila wa Tanzania 10, 7 kati yao wanaizungumzia Yanga zaidi.
Je tatizo ni ukubwa wa hizi timu, playing style zake?
View attachment 2939896
Inawezekana pia, ila uwezekano mkubwa ni sisi kupokea kipigo, siombei iwe hivvyo.Mamelodi nao wanaweza pigwa kitu kizito
Azam wamecheza wangapi uwanjaniIt's impossible
Kwa hio hii ya Mamelodi Sun Down itakuaje wakipita mule mule?Matokeo yalikuwa planned na Yanga
Kiko wapiLazima watu washangae chui kupambana na pimbi
Nimefanya utafiti Baada ya droo za CAFCL kutoka tarehe 12 na nimepata kugundua kuwa mechi ya Yanga na mamelodi ndio mechi inayoteka hisia zaidi kuliko Even mechi zote ......
Makolo pia wameendelea kuingia kwenye mfumo wa Yanga Kwa kuzungumzia mechi hii zaidi ....huku wengine wakisahau yao
Takwimu: Kwenye Kila wa Tanzania 10, 7 kati yao wanaizungumzia Yanga zaidi.
Je tatizo ni ukubwa wa hizi timu, playing style zake?
View attachment 2939896