Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,294
- 6,872
Mlifungwa goli la pili kwa kosa la Kibwana kuteleza kutokana na viatu kutohimili ile hali ya mvua.Halafu itabidi ukanifafanulie hili suala la viatu b... umelikomaliaga sana, huwa sielewi like how?
Mlikosa bao dakika za mwisho baada ya Morrison kuteleza wakati akijiandaa kufunga.
Wenzenu walikuwa na viatu Sahihi kwa ile hali ya hewa, ndiyo maana mvua haikuwasumbua kabisa.
Ova